Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

CCM mnaumia sana kwa kuwa Kamanda Mbowe ni mwiba mkali sana kwenu. Hohongeki! Yule aliyekuwa tegemeo lenu katika kuisambaratisha CDM kapigwa kitanzi!

Hatanyanyuka milele mkuu. Na wale waliokuwa wanamnunua kwa fweza wamefilisika. Account zao kaputi. Hivi yuko wapi siku hizi? Tuliiiii kama maji ya mtungi.
 
Story kama za LEMA hizi. anusurike kuuwawa kwa lipi hasa? anamtishia nani? mtu mwenyewe hata hoja hajui kuzipanga, hata elimu ya kushindana kwenye nyadhifa mbalimbali hana, yeye ashukuru baba mkwe wake amempa huo ulaji.

Hata asipopanga hoja lakini watanzania wanaelewa. Miaka yote ssm na viongozi wake wamepanga hoja zimefikisha wapi watanzani??? Hawawaelewi kabisa maana hata motto zenu ni za uongo. Ari mpy, nguvu mpya na kasi mpya. Mkashindwa ikabidi muongeze zaidi.
 
Huu ulafi wa madaraka wa Mbowe sasa umepitiliza yaani jamaa hataki kukubali kabisa kwamba ukomo wake wa kiuongozi ndio umekomea hapo na hakuna jipya atakalolileta ndani ya Chama,Mbowe hataki kuamini kuwa Chadema sio kichanga tena Chama kimeshakuwa sasa na kina Makada wengi wenye uwezo mkubwa wa kuongoza kushinda hata yeye sasa kwanini hataki kuwapa nafasi na wengine wagombee?Halafu kwakweli hakuna kitu muhimu kama elimu ya juu kwasababu inapanua upeo wako wa kufikiri na kuyatafakari mambo kabla ya kuyaongelea au kuyatenda.Ebu mwangalie Mbowe anasema hawezi akakiachia Chama sasa kwasababu bado ni kichanga,Je aliwahi kufikiria Makada wengine watajisikiaje pale wanapoonekana hawaaminiwi na yeye wazi wazi si watajiona kama hawana thamani yoyote katika Chama na hii ndio sababu migogoro Chadema haitakoma kwasababu Mwenyekiti haoni kama wengine wana haki ya kugombea nafasi yake.Hii ndio Demokrasia ambayo amekuwa akiipigania katika majukwaa ya kisiasa wakati yeye mwenyewe anaikandamiza katika Chama chake?Kweli Mbowe?

Mkuu,
Hebu pendekeza majina matatu tu ya wanaofaa kuwa mwenyekiti wa chadema!

Na ukiwataja bila kuwamo hata pandikizi. moja la CCM,basi nitajiuzulu uanachama JF!

Mbowe,PAMOJA DAIMA!
 
sawa kabisa mh,mbowe kwa sasa chama bado kinahitaji kiongoz makin
 
Chama bado kichanga kwa kuwa na mwenye kiti mwingine. Ila kwenye kupewa dola kimekomaa.
 
Vichwa 24 vya mbowe ni sawa na mtoto wa zito chachage ukijumlisha vichwa vya mbowe 28 plus slaa 28 ndio unapata zito mwenyewe

Kijambio kutoa ushuzi sio jambo la kushangaza. Nimekusamehe
 
Kwa hiyo kwa akili yako yenye kutu unaamini kabisa kuwa namsifia huyo mbulumundu wenu abarikiwe?

Ndo maana nikashangaa, kumbe bado uko vilevile.. hapo sawa tuko pamoja kichwa kilicho jaa makamasi tumekizoea lol!
 
Chama chooote kina mtu mmoja tu! Anayestahili kuwa mwenyekiti! Dah noma sana.... Kwenye dola chama kiko imara uenyekiti bado ni kichanga
 
Ndugu wanajamvi kunataarifa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA bwana Mbowe anampango wa kugombea tena kiti hicho cha juu kabisa ndani ya Chama, kwa mtazamo wa kawaida tu na kwa manufaa ya chama kamanda wa anga inatakiwa apishe ili demokrasia ichukue mkondo wake kwani kazi iliyofanya ni hakika na dhahiri.

Sasa ni wazi kuwa kama mbowe anataka kuendeleza kile kinachoitwa usulutani ndani chama basi atakuwa amevunja na kuharibu ile picha ya demokrasia ndani ya CHADEMA.

My take: Mbowe ng'atuka ili kujenga dhana ya demokrasia unayoihubiri bila kuijua.
 
Ndugu wanajamvi kunataarifa kuwa mwenyekiti wa CDM bwana Mbowe anampango wa kugombea tena kiti hicho cha juu kabisa ndani ya Chama, kwa mtazamo wa kawaida tu na kwa manufaa ya chama kamanda wa anga inatakiwa apishe ili demokrasia ichukue mkondo wake kwani kazi iliyofanya ni hakika na dhahiri. Sasa ni wazi kuwa kama mbowe anataka kuendeleza kile kinachoitwa usulutani ndani chama basi atakuwa amevunja na kuharibu ile picha ya demokrasia ndani ya CDM. My take mbowe ng'atuka ili kujenga dhana ya demokrasia unayoihubiri bila kuijua.
Kwako wewe demokrasia ni Mbowe kuondoka Chadema?
 
  • Thanks
Reactions: Pai
mbowe ni mwenyekiti wa milele wa saccos ya mtei ..yoyote atakaejaribu kumpinga lazima afukuzwe kwenye chama
 
mg29-w480-h5803.jpg


haya ni matokeo ya uenyekiti mbaya
 
Ndugu wanajamvi kunataarifa kuwa mwenyekiti wa CDM bwana Mbowe anampango wa kugombea tena kiti hicho cha juu kabisa ndani ya Chama, kwa mtazamo wa kawaida tu na kwa manufaa ya chama kamanda wa anga inatakiwa apishe ili demokrasia ichukue mkondo wake kwani kazi iliyofanya ni hakika na dhahiri. Sasa ni wazi kuwa kama mbowe anataka kuendeleza kile kinachoitwa usulutani ndani chama basi atakuwa amevunja na kuharibu ile picha ya demokrasia ndani ya CDM. My take mbowe ng'atuka ili kujenga dhana ya demokrasia unayoihubiri bila kuijua.

Lengo la MBOWE asiwe Mwenyekiti wa CHADEMA tu, au Una la ziada hapo?
 
Zitto ni mzitto atawasumbua sana kwa upeo wake mpana hakuna kiongozi wa chadema atakayeshindana na zitto.
 
Zitto ni mzitto atawasumbua sana kwa upeo wake mpana hakuna kiongozi wa chadema atakayeshindana na zitto.
Nani kakudanganya kuwa Zitto wako ni mwanachama wa CHADEMA sembuse kiongozi? Mfukuzeni Lowasa muone mziki wake.
 
Wee kiibwengo hugochavez mission zako zimefeli au huna taarifa?
 
Ndugu wanajamvi kunataarifa kuwa mwenyekiti wa CDM bwana Mbowe anampango wa kugombea tena kiti hicho cha juu kabisa ndani ya Chama, kwa mtazamo wa kawaida tu na kwa manufaa ya chama kamanda wa anga inatakiwa apishe ili demokrasia ichukue mkondo wake kwani kazi iliyofanya ni hakika na dhahiri. Sasa ni wazi kuwa kama mbowe anataka kuendeleza kile kinachoitwa usulutani ndani chama basi atakuwa amevunja na kuharibu ile picha ya demokrasia ndani ya CDM. My take mbowe ng'atuka ili kujenga dhana ya demokrasia unayoihubiri bila kuijua.

Hivi kugombea nako ni kukosa demokrasia?.
 
mg29-w480-h5803.jpg


haya ni matokeo ya uenyekiti mbaya

Mbowe hatakiwi kushurutishwa kung'atuka madarakani kama anaipenda CDM bali binafsi anatakiwa aonyeshe mfano kwa kuachia madaraka kwa amani na kuongoza mabadiliko yenye ushindani halali ndani ya CDM, ili CDM kiwe na uwezo wa kuwasuta CCM wakati wa chaguzi kuu.

Bila Mbowe kung'atuka na kuruhusu wanachama wengine kuongoza CDM, atakuwa hana tofauti na Mrema au Mugabe.
 
Back
Top Bottom