Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

Mpeni cheo mwenye hii sebule kwakweli 😁😁😁😁
 

Attachments

  • 1408644022526.jpg
    1408644022526.jpg
    86.4 KB · Views: 140
The best hon f.a. Mbowe , mtz wa ajabu kupindukia ! Pamoja na kumiliki utajiri wa zaidi ya hela ya madafu 1.2 tr lakini bado anapigania ukombozi wa nchi !
 
The best hon f.a. Mbowe , mtz wa ajabu kupindukia ! Pamoja na kumiliki utajiri wa zaidi ya hela ya madafu 1.2 tr lakini bado anapigania ukombozi wa nchi !

huo utajiri umetokana na lile danguro lake la billcanas?
 
Labda kwa faida yako na wengine wa aina yako
Ni kwamba mh mbowe ni mwekezaji wa kimataifa ,ni kama hawa wachina mnaowauzia nchi !

mwekezajji wa danguro? lile dannguro la mbowe ndio kituo cha kusambaza ukimwi
 
Mbowe ni kiongozi ni mwanasiasa mahiri sana lakini amezungukwa na wanafiki..
 
The best hon f.a. Mbowe , mtz wa ajabu kupindukia ! Pamoja na kumiliki utajiri wa zaidi ya hela ya madafu 1.2 tr lakini bado anapigania ukombozi wa nchi ![/QUOTE

Tanzania kuna billionea mmoja tu Rostam Aziz, hao wengine mnawatoaga vyanzo gani? Make ninavyojua Mbowe hata kwenye orodha ya matajiri 100 hapa bongo hayumo.

Au mnamuhesabia kwa hela za zimbabwe?
 
Back
Top Bottom