Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

Nadhani mbowe amekitumikia Chama vya kutosha,awache wengine ndani ya Chama wenye maono na mawazo mapya wakisogeze Chama mbele zaidi ya hapo kilipo.
 
Rudi kwanza Maliwatoni ukamalize yote ndipo urudi hapa kuja kuongea na watu wazima, Niushauri tu Maana naona licha ya kwamba umeshusha mzigo mzito lakini bado hujamaliza yanagongagonga kiasi yanakupa kero unaandika vitu ambavyo hukupanga kuandika

BACK TANGANYIKA
 
Mbowe ana vituko sana.

Kawalipa watu fedha wajifanye wanamuomba agombee tena.
 
Kwenda huko! Unatuchagulia wewe! Mbowe mwanasiasa aliyebobea ahache kugombea ili agombeee nani? After all cdm ni demokrasia, nenda nawe ugombeee... sorry nikikuudhi...
 
Ni wazi tishio la kamanda linaonekana kwenye uharo wako
 
Kwa sasa ni Mbowe tu kwenye uenyekiti na Slaa kwenye ukatibu mkuu. Wewe jiulize, "Kwa nini wapinzani wa Chadema wanawachukia sana hawa wawili?" Na sisi hatuwatosi. Ni hawa hawa!
 
mbowe ni mwenyekiti wa kudumu na slaa ni katibu wa kudumu...
 
sasa mbowe ataachiaje uenyekiti wakati chadema ni mali yake na mkwe wake mtei? chadema ni shirika la mbowe na mtei .. ni sawa na kumwambia bahresa aondoke azam
 
Kwa sasa ni Mbowe tu kwenye uenyekiti na Slaa kwenye ukatibu mkuu. Wewe jiulize, "Kwa nini wapinzani wa Chadema wanawachukia sana hawa wawili?" Na sisi hatuwatosi. Ni hawa hawa!

Yaani mi uamuzi sahihi hawa jamaa waendelee. Huwezi badilisha General wa vita katikati ya mapambano. Unaweza mbadilisha vita bikiisha.
 
Back
Top Bottom