Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
Kama kawaida yakoHahahaaaa....... Lisu amekata tamaa!
Kama kawaida yakoHahahaaaa....... Lisu amekata tamaa!
Rudia kusoma nilichoandika.Nina hakika hujaelewa.Kuna mahali nimeandika namchukia Tundu Lissu.Amekuzidi mbali mno.
Miafrika inachukia sana watu wenye mafanikio na wanaowazidi uwezo.
He is a very good lawyer but a lousy politician.Amekuzidi mbali mno.
Miafrika inachukia sana watu wenye mafanikio na wanaowazidi uwezo.
ugaidi kwani ulifanyika tarehe ngapi? acha uzuzu,Maneno ya kujifariji hayatawasaidia.
Unataka awadanganye kama mlivyozoezwa na wale waganga njaa wezi wa kura ili mumuone wa maana, Samia na serikali yake wanajua 100% kesi ni ya kubambikaHuu jamaa Lissu angendelea na kazi ya uanasheria.Ni mwanasiasa mbovu sana asiyepima maneno yanayotoka kwenye mdomo wake.
He is a very good lawyer but a lousy politician.
Lisu ameyaingiza chaka machadema yote.Kaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyekiti Mbowe ana kesi ya kujibu ya ugaidi kwa mujibu wa majaji wa Magufuli na Samia, lakini ni 'Mwamba' na 'Rais' kwa mujibu wa wananchi wa kawaida wa Tanzania!!!
Ni bora kuwa lousy politician kuliko wanasiasa wauaji na wezi.Huu jamaa Lissu angendelea na kazi ya uanasheria.Ni mwanasiasa mbovu sana asiyepima maneno yanayotoka kwenye mdomo wake.
He is a very good lawyer but a lousy politician.
Yani Magufuli atawatawala hawa mpaka vifo vyao...na bado kwenye kampeni mbona watazunguka na picha zake kuombea kura kwa kwa wananchiSa Magufuli kaingiaje?
Kwa hiyo hao ccm wauaji na wezi ndio wenye busara yaani wabambikiaji kesi ndio wenye busara? Acheni unafiki acheni lisu awaambie ukweli ndio maana mlitaka kumuua.Mimi nimejiondoa upande wa Lissu..Ni mkorofi mno..Hana busara..
#dishlimetiltHuu jamaa Lissu angendelea na kazi ya uanasheria.Ni mwanasiasa mbovu sana asiyepima maneno yanayotoka kwenye mdomo wake.
He is a very good lawyer but a lousy politician.
Ulitegemea baada ya zile risasi angekuwa likondoo fulani hivi. Huyo Lisu akuumbwa hivyo.Mimi nimejiondoa upande wa Lissu..Ni mkorofi mno..Hana busara..
Hatokujibuugaidi kwani ulifanyika tarehe ngapi? acha uzuzu,
Huyo mnafiki huwa nawashangaa sana mnapomuona wa maanaKama kawaida yako
Lakini hajawahi kupoteza kesiHuu jamaa Lissu angendelea na kazi ya uanasheria.Ni mwanasiasa mbovu sana asiyepima maneno yanayotoka kwenye mdomo wake.
He is a very good lawyer but a lousy politician.
Soma nilichoandika.He is a very good lawyer but a lousy politician.Lakini hajawahi kupoteza kesi
I think being a lousy politician is a positive... I mean to be a good politician especially African ones you have to lie, deceive, steal etc?Soma nilichoandika.He is a very good lawyer but a lousy politician.
Huyu jamaa haeleweki, kule space baada ya ombi la Zitto kwa Rais, alituambia Tusijidanganye Rais hana uwezo wa kufuta hii kesi tusubiri iishe. Kakutana na Mama Ubelgiji amebadilika, namsijia akiomba Raisi afute kesi🙊🙊Kaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyekiti Mbowe ana kesi ya kujibu ya ugaidi kwa mujibu wa majaji wa Magufuli na Samia, lakini ni 'Mwamba' na 'Rais' kwa mujibu wa wananchi wa kawaida wa Tanzania!!!
Mie nilishasema Lisu kachanganyikiwa lakini machadema hayataki kunisikiliza. Shauri yao.Huyu jamaa haeleweki, kule space baada ya ombi la Zitto kwa Rais, alituambia Tusijidanganye Rais hana uwezo wa kufuta hii kesi tusubiri iishe. Kakutana na Mama Ubelgiji amebadilika, namsijia akiomba Raisi afute kesi🙊🙊
Nyumbu hao achana nao yana akili za kuvuka mto tuu.Mie nilishasema Lisu kachanganyikiwa lakini machadema hayataki kunisikiliza. Shauri yao.
Lissu ameathirika kisaikolijia. Kama Mbowe angeachiwa jana wangesema Mahakama imeelekezwa na Rais Samia kumuachia Mbowe baada ya yeye Lissu kuongea na Mama juzi huko Brussels.Kaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyekiti Mbowe ana kesi ya kujibu ya ugaidi kwa mujibu wa majaji wa Magufuli na Samia, lakini ni 'Mwamba' na 'Rais' kwa mujibu wa wananchi wa kawaida wa Tanzania!!!