Naona umetaka maoni ya viogozi wakubwa wa CDM. Mimi nafikiri japo mimi siyo kiongozi unayemtaka wewe, Lakini ninaomba nikuulize maswali kwanza kabla hujawasumbua akina Slaa na Mbowe.
Mosi hili gazeti ni la fisadi lililokubuhu. Kwa hiyo si gazeti la kusoma. Kazi yao kubwa ni kupambana na CDM kwa proganda za uwonga. Let that stick to your mind first.
Pili, siyo rahisi kumhonga mbowe kwa sababu mbowe ni tofauti na hao wa vyama vibaraka wa ccm wanao hongeka kirahisi. Amezoea pesa toka akiwa mtoto. Do not forget that, Mbowe anatumia fedha zake binafsi bila kumsahau Ndesapesa na wengineo kusaidia Chadema. Acha uwongo.
Tatu, Chadema siyo TLP, NCCR nk, ni taasisi, siyo NGO ya mtu binafsi kama vyama vingine. That being the case, unaiuzaje? Kwani yeye mbowe alinunua TSH ngapi? kutoka kwa nani? Mimi na wenzangu tulimpitisha kwa kura za Kishindo. Get that as well.
Nne, nina wasiwasi na wewe mlete hoja, umewezaje kulipia internet ukaingia jamii forums lakini huna pesa ya kununua gazeti hilo ili upate habari kamili? Badala yake unaleta udaku wa kichwa cha hapbari? Halafu unataka great thinkers wajadili hoja isiyokamilika?
Pamoja na kuwa mimi ni kiongozi mdogo sana CDM na siyo msemaji rasmi wa Chadema, majibu hayo yanakutosha kwa sasa. Acha Akina Mbowe, Slaa na Ndesamburo wachape kazi ya kuwakomboa watanzania.
Thank you.