Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,781
- 6,138
Kama Mbowe aliweza kuiuza Chadema bila Wanachama kujua. Leo tukimpa Nchi si tutauzwa tukiwa hatuna taarifa!!!?
Mfanyabiashara hawezi kuwa Mwanasiasa. Anachowaza yeye ni Biashara tu.
Lowasa akiingia ikulu, Mbowe ndio atakuwa mshauri wake. Biashara itafanyika sana IKULU.
Watanzania tutajuta!
Mfanyabiashara hawezi kuwa Mwanasiasa. Anachowaza yeye ni Biashara tu.
Lowasa akiingia ikulu, Mbowe ndio atakuwa mshauri wake. Biashara itafanyika sana IKULU.
Watanzania tutajuta!