Mbowe kuiuza CHADEMA kwa mafisadi

Mbowe kuiuza CHADEMA kwa mafisadi

Kumbe mwaka 2011 Sauti Huru ilikuwa inatupa onyo mara 2 lakini tulipuuza inasikitisha sana!
 
Maskini Dr Slaa hakujua kuwa Lowassa na Mbowe walishakubaliana siku nyingi. Gwajima alitumika tu kama chabo maana waliona wakitumia mtumishi wa Mungu basi Dr atalainika.

Sasa kila kitu kinaeleweka. Arusha ndo mazungumzo yote kama ilivyoainishwa, Tuendelee kuperuzi!
 
Hii yote iliandikwa 2011, Uzi mwingine huu.

Mnasoma vizuri mpaka power sharing ya 2015 kati ya Mbowe na Lowassa ipo hapa.
Zitto inaonekana alijua mpango huu na aliiweka wazi lakini wazee akina Slaa na Arfi walimwamini Mbowe kuwa eti Zitto ni msaliti.
Tunasubiri uchaguzi upite maana ni dhahiri Ukawa na Chadema wanaangukia pua.

Ila the aftermath ndiyo itakuwa balaa!
 
Ni ngum sana kumwambia arsnal wenger kumhug morhno, mbowe hayupo kama ulivyoeleza pia huwez badlsha mawazo ya watu wanaohtaj mabadlko no matter what' uongo mtupu
 
Ni ngum sana kumwambia arsnal wenger kumhug morhno, mbowe hayupo kama ulivyoeleza pia huwez badlsha mawazo ya watu wanaohtaj mabadlko no matter what' uongo mtupu

Mkuu hakuna kubadilisha mawazo hii ni fact. We Mbowe unamjua? Huu ni uzi wa 2 kutoka 2011. Soma habari kwani Lowassa hajaingia naye ubia? Unakataa nini wakati yaliyoandikwa 2011 yametimia 2015.

Mbowe amewauza tena kawalaghai eti mabadiliko. Mabadiliko gani wakati anajua fika kuwa Lowassa ni fisadi na hajatubu wala kubadilika bali mwendelezo wa dili lao la 2011? Ye kafaidi mabilioni na akina Lissu mamilioni kawaacha ninyi na ahadi hewa za Mabadiliko!

Ndiyo maana kashindwa kujenga hoja kabaki kuwaambia eti mahaba.

Historia itakuja kuwahukumu mnaomshabikia Mbowe na Lowassa na mtakuja kukataa baadae kuwa hamkuwa sehemu ya ujinga huu. Mmedanganywa kama wale waliofuata mkumbo wa DECI na Babu Loliondo. Wako wapi wale waliorubuniwa? Sasa hivi wengi wameamua wacha waumie ila wamekaa kimya kwa aibu ya kudanganywa kirahisi hivyo.

Na ulaghai huu wa 2015 wa Mbowe na Lowassa mtakuja kukataa hivyohivyo.
 
Leo nimeamini kweli nyerere aliona Bali sana kwamba wachanga hawafai kabisa kuongoza nchi
 
Hivi nyinyi chadimu munasoma na kuelewa kweli au misukule na Pete ya lowassa bado inawasubua kichwani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom