Mbowe kuanza Ziara Mwanza Tarehe 14 Desemba!

Mbowe kuanza Ziara Mwanza Tarehe 14 Desemba!

ccm wanafiki sana chadema tutazunguka nzima kamanda mbowe kila la heri mwenyekiti wetu
 
ImageUploadedByJamiiForums1386421003.412176.jpg
Form six kashikilia kiti....
 
kwa mwanza CHADEMA wataula wa chuya this time , wasukuma tumechoka, take your wenje and kiwia back to CHADEMA FAMILY ( CHADEMA CHUMBANI)
 
Kwahiyo wamegawana Singida, Geita, Kigoma na Shy.

Mwingine Mwanza, Tabora, Kegera, Musoma.

Vipi huyu malipo yake na bajeti @MACCM hamjapata tu?
 
Chadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?

Aahhh!
We jamaa sixgates ni Muislam? Maana juzi nimemuambiwa Muislam Mwenzangu THE BIG SHOW aache Unafki na wewe hata kama ni MKRISTO acha Unafki maana YESU na BIBLIA havitaki.

Kila siki mnalia hapa RUZUKU RUZUKU, Leo tena unauliza wanatoa wapi Hela? Ya kweli hayo?

Ushahuri:
Pumzika achana na siasa za mitandaoni maana mwisho wako ni Aibu kuu, Mpaka sasa huchachelewa unafikiri hakua watu walio Chukia maamuzi ya CHADEMA ? Wapo wengi tu lakini Busara zimewatuma kukaa kimya na wanasubiri maamuzi ya Mwisho waongee. Mfano mzuri wa watu hawa ni Pasco hata MWANAKIjiji. Wote hawa wamekaa kimya hawatii neno kwakuwa wanajua ngoma Mbichi.
 
Last edited by a moderator:
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya kichama katika mkoa wa Mwanza kuanzia tarehe 14 Desemba.

Taarifa kutoka Makao Makuu ya Chama Dar es Salaam na ofisi za chama Mkoani Mwanza zinasema kwamba ziara hiyo itakuwa na nia ya kuimarisha chama.

Kiongozi huyo anatarajiwa kuhutubia wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Mwanza ambao ni wanachama wa CHADEMA katika siku ya kwanza ya ziara yake.

Mkoa wa Mwanza ni kati ya ngome kuu za CHADEMA kanda ya ziwa na Mwenyekiti huyo amekuwa akiheshimika sana katika mkoa huo.

Source:Chademablog.

Aende huku akiwa kishamfukuza Zitto chadema. Siku 14 hazijaisha?
 
Last edited by a moderator:
Hata wakienda kuzimu wote na viongozi wake wa makao makuu zitto hawatamuweza.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya kichama katika mkoa wa Mwanza kuanzia tarehe 14 Desemba.

Taarifa kutoka Makao Makuu ya Chama Dar es Salaam na ofisi za chama Mkoani Mwanza zinasema kwamba ziara hiyo itakuwa na nia ya kuimarisha chama.

Kiongozi huyo anatarajiwa kuhutubia wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Mwanza ambao ni wanachama wa CHADEMA katika siku ya kwanza ya ziara yake.

Mkoa wa Mwanza ni kati ya ngome kuu za CHADEMA kanda ya ziwa na Mwenyekiti huyo amekuwa akiheshimika sana katika mkoa huo.

Source:Chademablog.


Kama kawa kamanda Mbowe kanyaga twende wao porojo sisi kazi tu ingia Mwanza ingia Mwanza ingia baba.kapige kazi
 
Si umeshajitoa CHADEMA......ungebaki kama ulikuwa unataka kujua!

Mkuu hujajibu hoja, chadema mnatoa wapi hela za kuchezea? Slaa anajiandalia mikutano ili apate per dm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom