Mbowe in informal meeting with JK

Mbowe in informal meeting with JK

Sikuona uharaka wa hawa Citizen kuandika hii habari wakati wameambiwa wasubiri msiba uishe wapate habari kamili..hizi habari nusunusu mi naziona hazina uzito...
 
I have a strong feeling that the heading of this thread -story is malious to a highest degree. Why not "JK secret meeting with Mbowe"
Would it trigger bickering from the CCM ? I suppose it was not even a secret because everybody knows that they met.
 
Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA msijaribu kuharibu hii process inayoendelea ya kuikataa CCM, sisi Watanzania tunataka waondoke madarakani kama mnaanza mazungumzo ya siri mnatutia mashaka na future ya demokrasi ya taifa letu.

Sioni kama kuna haja na kufanya mazungumzo na CCM, tunatakiwa tuwatoe, mkianza kutembelea Ikulu kwa siri mnatutia wasiwasi

Mbowe ni rahisi sana kumburuza kuliko Maalimu Seif heko Jemadari JK huyu Mbowe ndio aliyeongoza wabunge kutoka nje ya Bunge, leo anakutambua kuwa wewe ndio Rais waJMT ( Mbowe amekula matapishi yake)
 
Ndugu,

Nafikiri litakuwa jambo jema tukimsubiri Mh. Mbowe kama alivyoahidi mwenyewe (".....
said he would give the details only after the burial of Chadema MP ........."). Mwenyekiti wa CHADEMA (Mh. Mbowe) ni mtu wa kitaifa hivyo jambo lolote analoongea kwa manufaa ya taifa ni LAZIMA lifahamike kwa wananchi vinginevyo alienda Ikulu kama Mbowe na si Mwenyekeiti wa CHADEMA. Itapendeza kama alienda kuweka mambo ya maandalizi ya kamati ya kukusanya maoni kuhusu katika mpya.
 
inawezekana viongozi wa juu wa chama wanajua lkn kwa kuwa agenda yao haikutakiwa kuwa wazi kwa kila mtu ndio maana hata J.M amegoma kukiri hilo hadharani.
 
Mod,,hii c ishaulizwa juu hapo na mdau mmoja? kuna watu wanapost vtu bila kupitia thread za wengine
 
Ingekuwa ni "Zitto in secret meeting with JK" leo hapa JF yangeshushwa matusi ya aina zote, lakini kwa ajili ni Mbowe tunaweka imani mbele kwamba nia yake itakuwa njema tu.... chuki binafsi hazijengi, na tujue kwamba ukweli utabaki kuwa JK ndiye rais wa nchi hii,na watu/viongozi wenye maslahi ya taifa wataongea nae tu kwa manufaa ya nchi, iwe kwa siri au waziwazi. Perception yetu ndio jambo kubwa.
 
hawa citizen/mwananchi waliwahi kutuhumiwa na TISS kwamba wana mpango wa kuharibu nchi ,sasa naanza kuamini.hii habari haina tija kwa ss.
 
Sijui kifungu kipi kinazuia Mbowe kukutana na Kikwete, Labda anachumbia huko au ana suala ambalo wewe hutakiwi kujua. Au ni suala la kiusalama. Hii nyuzi imekaa kichonganishi zaidi. Ishindwe.
 
Kwanini JK huwa hathubutu kumwita Slaa na waongee nae. Utani tu}
 
Mbowe ni MTANZANIA na Rais wake ni JMK. Atakuwa hafurahishwi na mahusiano ya JMK na Dr Slaa.
 
Elewa kuwa jk ni kiongozi mkuu wa taifa hili ukiweka mbali mashaka kuhusu mchakato uliomwezesha kufika hapo alipo elewa pia kuwa mh mbowwe ana nafasi kubwa ukiweka mbali nafasi ya chama kilichomfikisha hapo alipo kwa hali hiyo wote wawili kwa pamoja wana kila sababu ya ku shiki kwa pamoja kwenye mambo muhimu yanayohusu mastakabali wa taifa,bila ya kuingiza uhasama wa ki itikadi,kidini nk elewa pia kuwa kuna mambo muhimu ya ki serikali yanayopaswa kuwa siri sio tu miongoni mwa mwa viongozi wawili wa kitaifa bali hata baina ya serikali na raia wa kawaida hivyo ondoa shaka kuhusu dhana ya usaliti ila kuomba siri baina yao iwe ni kwa ustawi wa taifa.
 
Sanga na mimi naikubali Chadema lakini nakushauri tusimwamini Mbowe kupita kiasi, naye ni binadamu anaweza kutuuza.
 
:embarassed2:Huyu hana mpya 2achane nae maana hata baba wa nyumba moja hukutana na mwingine kwa mazungumzo yao na si lazima wawaambie watoto au wake zao.
A%20S%20465.gif
 
Let us wait kama mbowe alivyoahidi and no need of rushing into this....2cwajudge mapema namna hii muda wa mourning ukiisha 2tajua tu in black and white......after al those arent enemies xo let them meet!
 
Nilishasema Chadema anayeaminika ni Dr. Slaa tu na asipokuwepo huyo mimi sikipigii kura chadema hakiyamungu
 
mbowe na viongozi wengine wa chadema msijaribu kuharibu hii process inayoendelea ya kuikataa ccm'sisi watanzania tunataka waondoke madarakani'kama mnaanza mazungumzo ya siri mnatutia mashaka na future ya demokrasi ya taifa letu'sioni kama kuna haja na kufanya mazungumzo
Na ccm'tunatakiwa tuwatoe'mkianza kutembelea ikulu kwa siri mnatutia wasiwasi
jamani si tumeambiwa tusubiri msiba upite kwanza? makamanda wanaongoza mazishi hebu tusiwachanganye jamani.
 
Back
Top Bottom