shehe yahya jr alisema mwaka huu kikwete atangara kwa kuwahisisha wapinzani katika seriikali tusubiri,pili hiyo ni karata nzuri lwa cdm kwa hali ilivyo huwezi kuiondoa ccm madarakani yoooote overnight
Huyu aliyeandika
alikuaje kama
ilikuwa ni siri?
Muafaka kwani ni kitu gani jamani... sielewi? mm nijuavyo ni kuwa lazima pawepo na vita au ugomvi phisically ndo maridhiano yanapotokea tunayaita muafaka, nahisi ss tuna-mapishano ya kauli za kisiasa na hata USA, UK na nchi nyngine zlzoendelea ipo hvyo ss mnaposema muafaka ni upi au unahusu nn, kwamba Mbowe aache mapambano ya kisiasa au......?
Sikuona uharaka wa hawa Citizen kuandika hii habari wakati wameambiwa wasubiri msiba uishe wapate habari kamili..hizi habari nusunusu mi naziona hazina uzito...
Nakubaliana na Mhadhiri Bashiru Ali, ktk siasa hakuna siri.
Mbowe asituchanganye, sisi wanachadema tuna hamu ya kusikia kutoka kwake na kwanini alienda kwa siri. Je, viongozi wenzake akina Dr Slaa wanajua hilo? Benefit of doubt.
Habari kwao ni kwamba kulikuwa na mkutano wa siri. Yalijiri yaje baadaye. Kama mtu aliweza kufanya mkutano wa siri wakati wa msiba ni kwa nini asiseme walichokiongea wakati huo huo ati hadi wasubiri msiba uishe! Naona muafaka uko njiani!
Habari hii imeandikwa kwa lengo ovu .......na ni mkakati wa baadhi ya watu ndani ya serikali na ndani ya vyama vya siasa yaani CCM na CDM kutaka kukwamisha ama kuchafua hali ya hewa kwenye vyama husika.
Kama Mbowe , alienda kumjulisha rais kuhusiana na taratibu za msiba wa Regia itakuwaje? kwani ni siku hiyo hiyo na baada ya muda JK kaenda nyumbani kwa familia ya marehemu kutoa pole? Badop naungana na wengine waliosema kuwa tuvute subira kwani Mbowe kaahidi kuwa atasema baada ya msiba ama walikutana na nini walichokuwa wanazungumzia .
Gazeti hili ndio hilo hilo limeandika uwongo mwingine kuwa marehemu Regia ndio alitoa hoja kwenye kamati kuu juu ya kukutana na JK , ila ukweli ulikuwa kuwa hilo lilikuwa pendekezo lililotolewa na Secretariat ya chama kati ya mapendekezo 3 yaliyopelekwa kwenye kamati kuu .
Mbowe mbona anajirahisisha kwa huyo jamaa.. Dr. Slaa awezi kufanya jambo kama hilo. Period
Nitaendelea kuipiga vita ccm mpaka nihakikishe inatoka madarakani hata kama chadema wakinunuliwa na ccm
Hapo hakuna muafaka. Tofautisha ccm b na CHADEMA. cuf ni ya maalimu seif peke yake, yeye ndo ana maamuzi ya chama. lakini CHADEMA si ya mbowe peke yake
Habari hii imeandikwa kwa lengo ovu .......na ni mkakati wa baadhi ya watu ndani ya serikali na ndani ya vyama vya siasa yaani CCM na CDM kutaka kukwamisha ama kuchafua hali ya hewa kwenye vyama husika.
Kama Mbowe , alienda kumjulisha rais kuhusiana na taratibu za msiba wa Regia itakuwaje? kwani ni siku hiyo hiyo na baada ya muda JK kaenda nyumbani kwa familia ya marehemu kutoa pole? Badop naungana na wengine waliosema kuwa tuvute subira kwani Mbowe kaahidi kuwa atasema baada ya msiba ama walikutana na nini walichokuwa wanazungumzia .
Gazeti hili ndio hilo hilo limeandika uwongo mwingine kuwa marehemu Regia ndio alitoa hoja kwenye kamati kuu juu ya kukutana na JK , ila ukweli ulikuwa kuwa hilo lilikuwa pendekezo lililotolewa na Secretariat ya chama kati ya mapendekezo 3 yaliyopelekwa kwenye kamati kuu .
Mkuu soma hapa ujue kama ni Gazeti ama ni Mjumbe mwenzake wa CC aliyesema hayo
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/212834-nakuagaje-regia-zitto.html
mkutano gani tena wa siri wakuu, wakati tuna msiba mzito? asije (jk) akapendekeza tuunganishe vyama ili kuongeza kasi ya maisha bora kwa kila m-tz kuelekea 2015-- :lol: