Mbowe in informal meeting with JK

nahisi waliongelea kuhusu vurugu vyuo vikuu ndiyo maana kweye salamu zake Mbowe aliipiga vijembe CCM kuhusiana na wasomi kuandaliwa Hata hivyo nadhani hawakufia muafaka ndiyo maana wakaa masaa matatu wakivutana

namawazo tu !!
 
Mkuu nakumbuka huko Zanzibar walianza kwa muafaka na sasa tunaambiwa kwa sasa Zanzibar ni vicheko tu uchumi unapaa, bei ya karafuu imepaaa watu wanachekelea tu kuelekea benki! Maisha yameanza kuwa bora baada ya muafaka. Huenda JK anataka muafaka.

Sasa kama hali ni hiyo huko Zanzibar huu mgogoro wa Seif Sharif Hamad na Hamad Rashid & Co. unatoka wapi?
 
Magwanda yanapendeza sana, kamati ya vazi la taifa pendekezeni liwe vazi la taifa.
 
Mimi naona kuna haya ya kusubiri kwa hamu kusikia kutoka kwa Mbowe ili atueleze wamejadili nini na kufikia muafaka gani, Vinginevyo kama ni aina ya majadiliano kama yale ya CUF yaliyosababishwa CUF kumezwa Mbowe atakuwa amefanya kosa kubwa la msingi ambalo litahalalisha CCM kuitawala Tanzania milele.

wanaJF na wananchi kwa ujumla,
1. Kikao kati ya JK na Mbowe kilikuwepo na siyo siri.
2. Viongozi wawili wanapokutana siyo lazima kila kitu kiwekwe hadharani. Kuna mambo yanahitaji ushirikishwaji wa ngazi mbalimbali baada ya consultation ya viongozi. Hii ndio misingi ya demokrasia duniani kote.
3. Viongozi Chadema wanajua mkutano huo na ni utekelezaji wa maamuzi ya vikao hivyo hakuna cha ajabu wala cha pekee kati ya Mbowe na JK kama inavyotaka kutafsiriwa na baadhi.
4.chadema ni makini sana. Hakuna usaliti wowote,hakuna cha CCM B au C au mseto unaozungumzwa. Chadema inaamini katika kufanya siasa kisayansi na si kishabiki, au kusukumwa na matakwa ya mtu binafsi, daima maslahi ya umma na Taifa mbele.
 
wanaJF na wananchi kwa ujumla,
1. Kikao kati ya JK na Mbowe kilikuwepo na siyo siri.
2. Viongozi wawili wanapokutana siyo lazima kila kitu kiwekwe hadharani. Kuna mambo yanahitaji ushirikishwaji wa ngazi mbalimbali baada ya consultation ya viongozi. Hii ndio misingi ya demokrasia duniani kote.
3. Viongozi Chadema wanajua mkutano huo na ni utekelezaji wa maamuzi ya vikao hivyo hakuna cha ajabu wala cha pekee kati ya Mbowe na JK kama inavyotaka kutafsiriwa na baadhi.
4.chadema ni makini sana. Hakuna usaliti wowote,hakuna cha CCM B au C au mseto unaozungumzwa. Chadema inaamini katika kufanya siasa kisayansi na si kishabiki, au kusukumwa na matakwa ya mtu binafsi, daima maslahi ya umma na Taifa mbele.
Dr Slaa,
Baadhi yetu tunahoji umakini wako tangu matokeo ya uchaguzi ya Rais wa JMT yatangazwe mwaka juzi. Hatukuoni kokote anakokuwa Rais wetu. Msiba wa juzi wa Regia ni ushahidi wa hivi karibuni kabisa. Yanasemwa mengi juu ya hali hii. Fafanua kidogo tafadhali.
 
Jumapili iliyopita (15 Jan 2015), Rais JK na Mbowe walikutana kwa siri, kilichojadiliwa pia kikawa ni siri. Gazeti la kiukweli la kimombo' The citizen' limetoa nyeti hizo ukurusa wa mbele bila chenga. Mbowe akaulizwa kwa simu, naye akikri kuwa ni kweli walikutana. Alipoulizwa mlijadili nini akapiga chenga, subiri msiba uishe. Gazeti lilipowauliza wasemaji wa ikulu nao wakatoa nje. Lilipomwuuliza Mnyika wa kueneza chama kuhusu sakata hilo naye akasema hana habari.

Maswali CHADEMA wanajua kikao hicho? Kama hapana kwanini? Kama siyo, Mbowe atujibu haraka.

Pili, kikao cha kwanza cha Ikulu ilikuwa public kwanini hii ya Mbowe aifanye siri peke yake?
Je, JK anamshawishi Mbowe aikubali mchakato feki wa katiba?
Je, kati yao Jk anawasaliti CCM au Mbowe anasaliti CHADEMA?

Acha urongo, mwana wa Daudi...
 
wanaJF na wananchi kwa ujumla,
1. Kikao kati ya JK na Mbowe kilikuwepo na siyo siri.
2. Viongozi wawili wanapokutana siyo lazima kila kitu kiwekwe hadharani. Kuna mambo yanahitaji ushirikishwaji wa ngazi mbalimbali baada ya consultation ya viongozi. Hii ndio misingi ya demokrasia duniani kote.
3. Viongozi Chadema wanajua mkutano huo na ni utekelezaji wa maamuzi ya vikao hivyo hakuna cha ajabu wala cha pekee kati ya Mbowe na JK kama inavyotaka kutafsiriwa na baadhi.
4.chadema ni makini sana. Hakuna usaliti wowote,hakuna cha CCM B au C au mseto unaozungumzwa. Chadema inaamini katika kufanya siasa kisayansi na si kishabiki, au kusukumwa na matakwa ya mtu binafsi, daima maslahi ya umma na Taifa mbele.

Mheshimiwa katibu, asante kwa ufafanuzi. Aliyeumwa na nyoka, akiguswa na unyasi anashituka. Wapo watu waliamini CUF ingekuwa chama cha kuwaletea mabadiliko, lakini ziara ya Maalim Seif ikulu ikapelekea maumivu wasiokuja kuyasahau. Pamoja na kuheshimu hirachia za chama, Je, CHADEMA haioni busara ya japo kuwahabarisha mazungumzo yalihusu nini, hata kama haitatoa details kwa sababu za kiitifaki?
 
Nachukia Ufisadi: Matusi, Uongo, Tetesi na Majungu pia ni Ufisadi; Tujitenge Navyo:rain:

Inabidi uangalie JK anafanya TZ kuwa mahali pazuri kuishi kwa watu gani..... mimi nafikiri kwa wageni na si waTZ wenyee maana dalili zinaonekana.

Wachina, wahindi, waarabu na wazungu ndiyo wanaona mahali pazuri na si waTZ tunaopandishiwa bei ya Umeme, mafuta ETC, Ila kwa hao wgeni wanaovuna madini, wanyama na rasili mali zetu.
 
wanaJF na wananchi kwa ujumla,
1. Kikao kati ya JK na Mbowe kilikuwepo na siyo siri.
2. Viongozi wawili wanapokutana siyo lazima kila kitu kiwekwe hadharani. Kuna mambo yanahitaji ushirikishwaji wa ngazi mbalimbali baada ya consultation ya viongozi. Hii ndio misingi ya demokrasia duniani kote.
3. Viongozi Chadema wanajua mkutano huo na ni utekelezaji wa maamuzi ya vikao hivyo hakuna cha ajabu wala cha pekee kati ya Mbowe na JK kama inavyotaka kutafsiriwa na baadhi.
4.chadema ni makini sana. Hakuna usaliti wowote,hakuna cha CCM B au C au mseto unaozungumzwa. Chadema inaamini katika kufanya siasa kisayansi na si kishabiki, au kusukumwa na matakwa ya mtu binafsi, daima maslahi ya umma na Taifa mbele.

Mheshimiwa DK Kwa kuwa slogan ya Chadema ni Peoples Power Watanzania walio wengi wanapenda kujua,msingi wa mazungumzo ni upi?.Je Ni mambo ya kawaida,ni swala la katiba au ni swala la kuunda mseto.Kwa kuwa sera za Chadema sio usiri ni uwazi katika majadiliano yenye kuludisha feedback kwa jamii wanayoisupport.Na nguvu upatikana kutoka kwa umma kwa kuwa Wananchi walio wengi ambao ndio walengwa mara zote wanakuwa well informed na ndio maana siku zote wamekuwa suppoter wa chadema kwenye movement zao zote.

Angalizo kwa mwenendo huu,uko mbele ya safari ni vyema kile kinachozungumzwa kati ya Chadema na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi ,basi yakawekwa wazi hata kama yataibua pingamizi au mazungumzo lakini hatimae itakuwa ni kipimo cha Chadema kujua Wanachama, wapenzi wake na kwa ujumla Wananchi wanakisupport chama hicho wanataka nini kwa mujibu wa mazungumzo husika.

Kuna mazungumzo yaliopita ndani ya nyumba kuu ya Watanzania kati ya Chadema na Rais taarifa zake zilizunguka zunguka ukuta hatimae baada ya umma wa wananchadema kutaka feedback wakajibiwa kimagutumagutu kuwa walichotimiza ilikuwa ni kuwakilisha maoni yao lakini msimamo wao huko palepale kuwa hawautambui mswaada wa marekebisho ya sheria.Swali langu Chadem walishindwa nini kusema sentensi hiyo hiyo siku ile ile waliyotoka ikulu baada ya kuanza kuchenga chenga na kuanzishiwa maneno kuwa walienda kunywa Juisi Ikulu,ambayo kihalali wako sahihi kuinywa kwa kuwa Ikulu ni mali ya watanzania na wao ni watanzania.Lakini kwa kukalia taarifa yao ile Juice ya Ikulu ilielekea kuchafua hali hewa kidogo kwa chadema.

Haya limekuja hili la wenyeviti hawa wawili kukutana nalo maneno yanayotamaniwa kusikika kwa Wananchi kiasi kuwa watanzania wakimwemo Wanachadema wanataka kujua yaliyojili matokeo yake tunaanza kuguess yaliyojili ndani ya jumba letu hilo tukufu.

Haya maneno ya kusema Chadema inaendesha siasa za kisayansi isijekuwa CCM ndiyo ikaendesha siasa ya Kisayansi dhidi ya Chadema kwa kuwa mwasisi wa sisa za siri ni CCM,kitendo cha Chadema kupaste style hiyo ndio mwanzo wa kutumbukia kwenye kapu la CCM.Upande wangu binafsi kama hoja ya mseto ni inazungumzika ni njema na heri ngazi hii ya kitaifa,na kama ni hoja hiyo ipo basi ni vyema ikawekwa wazi mapema na Chadema kuliko kuja kuibuliwa na CCM.

Maumivu ya kichwa uanza polepole!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Naamini Mbowe hawezi kuingia katika mtego wa kusaliti watanzania. Lazima ajue kwamba CHADEMA sio yake ni ya watanzania ambao wengi wao wana hali mbaya kiuchumi na wana imani na CHADEMA kwamba itawaondoa kwenye huu ufisadi.

Luck enough CCM wenyewe sasa wanaumbuana na katika mambo wannayoumbuana mengi yameibuliwa na CHADEMA. Mfano ufisadi, posho za vikao, kupanda kwa posho, muswada wa katiba mpya n.k hakuna chama kimewahi kuwa effective kuibana serikali kama CHADEMA tuache ushabiki. Ndio maana wenye wivu hujiunga na CCM hata bila kupenda.

Mkuu Mbowe usituangushe
wewe tatizo lako unafikiri kwa kutumia....any way,hujui historia ya chadema na hujui dunia inavokwenda.chadema ni ya wachaga hivyo huwezi kumchagulia mbowe cha kuongea na rais.suala la katiba walianzisha cuf na kuhusu posho kamuulize shibuda na joseph selasini watakufahamisha vyema.
 
si kosa kwa viongozi wakuu wa vyama na serikali kukaa na kujadili mustakabali wa nchi tatizo lipo kwa baadhi ya wnzetu wana Jf wana kauli za kejeli na matusi kiasi ambacho wanaharibu sifa ya jf ya kuibua hoja na mijadala mizito yenye maslahi katika nchi yetu.juzi karimjee nimsikiliza Dr slaa kwa makini akieleza umuhimu wa jf ktk taifa lakini kuna haja ya kuangalia upya michango ya baadhi ya wachangiaji wanaotumia lugha zisizo ridhisha humu.
 
Mheshiwa slaa nakuona hapo chini uko online na unafuatililia mjadala huu,kuna hoja au maswali wanayouliza watanzania humu ungevunja ukimya ungesaidia sana,mfano mimi binafsi pia nilitaka kusikia kutoka kwako unazungumziaje kutoonekana kwako kujichanganya na "jk" kama unavyomwita wewe?
 
Kama kweli walikua wanazungumzia mambo yao binafsi tu ya kupanda na kushuka kwa bei ya samaki feri sawa lakini swala la kitu chochote serikali ya mseto NDOTO HIZO zisifikiriwe hata tone maanakwetu sisi CHADEMA si mali binafsi ya viongozi kama CCM kilivyobinafsishwa na kuwafanya maamuzi kibao bila kutafuta ridhaa ya wanachama.

Tujiulize kwamba sisi kama CHADEMA ndani ya ndoto hizo za serikali ya mseto ni kwamba tunakwenda kutafuta nini huko? Yaani CCM kitafute japo kidirisha cha kufulia uchafu wake kwa KAFU Visiwani mbaka kufikia kifo cha chama hicho na sisi pia leo hii mtu aje na fikra kama hizi kwenye kijiwe chetu pale Magogoni?????

Mhe Mbowe, sisi wanachama HATUKUBALI LEO, HATUTAKUBALI KESHO WALA KWA SIKU NYINGINE YOYOTE ILE: KAMA KUNA CHA KUZUNGUMZA NA CCM CHUMBANI MAGOGONI BASI MAZUNGUMZO HAYO YAWE YANAHUSU UUNDWAJI WA KATIBA MPYA YA WANANCHI KWISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Walikuwa wanaongelea kupanda kwa bei ya samaki pale samaki samaki
 
Back
Top Bottom