Mbowe hajatoa chozi kwenye mateso, katoa chozi nyumba ya Mungu

Naunga mkono mawazo yao lakini nitajaribu kuwapinga kidogo.

Mwaka 2020 wakati wa kampeni za ufungizi kwa Chadema mbowe alijishushia busara kwa kuwafukuza kama mbwa waandishi wa TBC.

Je, Mtu mwenye busara anaweza fanya hivyo? Tena akiwa live
TBC walionyesha UTOTO aibu tupu.
Waliacha weledi wakajiingiza kwenye kuvuruga hotuba za CHADEMA. Ndio maana wamepwaya mpaka leo.
 
Hakika kuna mengi ya kunifunza kutoka kwa Mwamba huyu. Pamoja na mateso yote ya miezi zaidi ya 7 Mbowe hakupata kupiga goti mbele ya watesi wake wala kumwaga chozi bali ilikuwa ni tabasamu na ucheshi.

Lakini siku ya kwanza kutoka gerezani na kuingia kanisani kutoa shukrani ya pekee kwa Mungu kamwaga chozi mbele za Mungu wake. Nini maana yake?

Kwake Mungu ndio kimbilio na nguvu, msaada unaopatikana wakati wa shida na haogopi lolote linalotendwa nje ya mapenzi ya Mungu.

What kind of a leader this man is? Great man!

Oneni tofauti ya hizo picha.

Haaah,wakati alilia mahakamani kuwa wananyimwa chakula wanapokuja mahakamani,vijana wa chadema mna matatizo kweli kweli
 
akilia mbowe kanisani mnamsifu saana kwamba ni hodari shupavu akilia makonda kanisani mnamcheka anajilizaliza mkoje nyinyi chaggadema akili yenu imeoza
Hapa ilikuwa baada ya kuzushia watu mbalimbali akiwamo Mbowe, tuhuma za madawa ya kulevya.
Alilia sana lakini ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wake, aliyoutafuta mwenyewe.
1646662604289.png
 
Mbowe ni mtu wa busara sana. Kwenye maisha nimekuwa nikiona viongozi wa kijamii na kisiasa wakipewa shahada za heshima na tuzo kwa waliyofanyia jamii. Nashindwa kuelewa Mh. FAM anatakiwa afanyie jamii kitu gani tena Ili apewe hizo nishani/shahada za heshima. Asante sana kwa wazazi waliotupa huyu mtu.
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
 
Natamani sana siku awe Rais wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza nitaamini haki imeshinda. Kama ninavyokaribia kuamini Kenya karibu haki inashinda
 
Ujumbe uliopo hapa:
Mpatapo fursa ya kuwapa watoto wenu majina mfikirie kwanza.
Jina la mtu ndivyo alivyo!!
Mifano michache
1. Magufuli (Makufuli, funga, fungia)
2. Freeman (Huru, mbeba maono)
3. Suluhu (Sawazisha, patanisha)
4. Samia (heshima)
5. Bashite (bure kabisa)
6. Omuga (Faru, mwamba)
7. Jingalao (Jingaletu)
8. Faiza (Faida, manufaa, fanikio)
9.
 
Naunga mkono mawazo yao lakini nitajaribu kuwapinga kidogo.

Mwaka 2020 wakati wa kampeni za ufungizi kwa Chadema mbowe alijishushia busara kwa kuwafukuza kama mbwa waandishi wa TBC.

Je, Mtu mwenye busara anaweza fanya hivyo? Tena akiwa live
Fake news media lazima wadhibitiwe,, ata Trump alikuwa anawakolomea CNN
 
Kiongozi mkuu km huyu kulialia ni dalili ya udhaifu!! mngeficha huu udhaifu!! km mleta mada ni mdada namsamehe!!! huyu jamaa hafai kuongoza nchi!!! sasa km unalizwa na mwanamke!! ukikoswa koswa kupinduliwa km Nyerere je??...

angevamiwa ikulu na jemedari jitu la miraba minne Idd Amin huyu si angekunya mavi mabichi kabisaa??...au mnasemaje wadau!!....kusema kweli hii njemba imenikwaza.....mahabusu yenyewe ya kishua ile...mara ulishwe keki.....mara mguu wa mbuzi...mweee

Jemadar Mkuu wa Majeshi mtarajiwa unatoa machozi hadharani?? ajili ya mwanamke enhee!! ili iweje?? unalizwa na ke'' huyu tulikuwa tuna mpima tu!! tuone km ataweza mikimikiki ya siasa.....kuumbe zero tu!! mkeo afanyeje sasa??

Mbaya zaidi basi katoa machozi kwa yesu Mzungu huyo!! tena huyu jamaa na shule yooote hiyo kichwani kaenda kulia kwa yesu mzungu na Mkoloni mambo leo??!....tunashuhudia mengi!! kwani hakujua siasa ni nini??

Ina maan ni muoga anatamani kuhurumiwa!! watu au viongozi wa hivi wanakuwaga Madikteta! mjue kuwasoma watu nyie wana JF! kanatakiwa kale kajamaa katundu Lisu!! kale kadume kale kanaongea na vyuma miguuni!...kanarudi kanaenda kanarudi!!

sasa Mbowe atamuongoza nani na machozii yoote huyu wajameni??? wananchi walie na wewe ulie mwee!! na JKT yoote hiyo aliyo pitia?? ndo walivo kufundisha weye!?? kwanza yesu huyo kaamwe huyo hamhurumii!...ameamua kupoteza muda tu!

huyu alipaswa kukomaa tu km Mandela hkn kulia wala kusononeka ndo wanaume walivyop ......walie wao ke siyo wewe mpambanaji kiongozi kiongozi!! mchora ramani km Museveni, Kagame pamoja na kumpoteza kalegeya hakuwahi kulia yule jamaa!

Faster tu alirudi kutoka masomoni akakamata usukani!! bila uoga!! tena mstari wambele na alijua kuwa na yeye atakufa tu....yeye anajua aliishi kwa neema!! sasa hataki ataniwe na watu waoga waoga! km jiwe.....wkt ana dola yenye pesa!

Uongozi urais ni gereza moja baya sana kuliko hapo Segerea alikuwa mahali salama!!,,ukilegea tu unafia madarakani km jiwe!
 
Moyo wa MTU hata kama ancheka usoni moyoni amejaa huzuni na maumivu ila kwa kuwa ni kiongozi LAZIMA ajikaze lakini ibadan Lazima alie
Hakika kuna mengi ya kunifunza kutoka kwa Mwamba huyu. Pamoja na mateso yote ya miezi zaidi ya 7 Mbowe hakupata kupiga goti mbele ya watesi wake wala kumwaga chozi bali ilikuwa ni tabasamu na ucheshi.

Lakini siku ya kwanza kutoka gerezani na kuingia kanisani kutoa shukrani ya pekee kwa Mungu kamwaga chozi mbele za Mungu wake. Nini maana yake?

Kwake Mungu ndio kimbilio na nguvu, msaada unaopatikana wakati wa shida na haogopi lolote linalotendwa nje ya mapenzi ya Mungu.

What kind of a leader this man is? Great man!

Oneni tofauti ya hizo picha.

Lazima alie amepitia mambo mengi saana
 
Back
Top Bottom