Mbowe, Dr Slaa kukutana na wanahabari leo

Mbowe, Dr Slaa kukutana na wanahabari leo

ndo maana JK amearisha kuongea na wazee wa ccm leo kumbe makamanda wanamwaga sumu leo saa sita tupeni update za kutosha
 
Kweli Chadema chama cha Wakristo. Mkutano Ijumaa saa sita mchana! Imagine mkutano uwe saa 3 asubuhi Jumapili!. Wachaga hawa hawajali sensitivity za wengine. Ma decoy Salum Mwalimu na Prof Safari hawalioni hilo?
 
Kweli Chadema chama cha Wakristo. Mkutano Ijumaa saa sita mchana! Imagine mkutano uwe saa 3 asubuhi Jumapili!. Wachaga hawa hawajali sensitivity za wengine. Ma decoy Salum Mwalimu na Prof Safari hawalioni hilo?

nyoa ndevu kwanza utapata hekima.
 
Kweli Chadema chama cha Wakristo. Mkutano Ijumaa saa sita mchana! Imagine mkutano uwe saa 3 asubuhi Jumapili!. Wachaga hawa hawajali sensitivity za wengine. Ma decoy Salum Mwalimu na Prof Safari hawalioni hilo?

Shughuli za ukombozi ni ibada pia, ni sawa na ibada za kutembelea wasiojiweza na wagonjwa.
 
Kweli Chadema chama cha Wakristo. Mkutano Ijumaa saa sita mchana! Imagine mkutano uwe saa 3 asubuhi Jumapili!. Wachaga hawa hawajali sensitivity za wengine. Ma decoy Salum Mwalimu na Prof Safari hawalioni hilo?

Hubiri udini wako wenzio wanaenda mbele!
 
Hivi wewe LAKI SI PESA ukiona na kusikia jina la Dr Slaa au Mbowe unawashwaje labda tukusaidie sie tulio karibu nawewe,Mana unakihelehele kama bi mdogo,kila uzi lazima uwe wakwanza
 
Back
Top Bottom