Mbowe, Dr Slaa kukutana na wanahabari leo

Mbowe, Dr Slaa kukutana na wanahabari leo

Wanataka kutuonyesha bango walilolikuta jijini Humburg mitaani hivyo tuchukue hatua haraka kabla ya mnada haujafanyika.
View attachment 212124


JK anavyopenda sifa siku vyuo vya Marekani vikiahidi kumpa uprofesa wa Kimarekani atauza nchi ili aupate uproesa kutoka chuo kikuu cha Harvard. Kwa sasa Tz. inaongowza na Rais ambaye profesa wa Kichina.
 
nchi hawawez kuuza ispokua walienda kusain makubalino ya ndoa ya jinsia moja kwahiyo tukiwachagua Tanzania itakua nchi ya mashoga
nyie watu wa ajabu, pinda alikuwa huko huko mpaka karudishwa na mh. Raisi, mh. Raisi safari zake nje ni kama 400; safari moja ya hawa jamaa pichu zinawabana.... pumb.avu zenu...
 
Leo watatoa tamko gani sasa??? Maana wameyatoa weee mpaka yameisha.
 
Kamanda molemo asante sana kwa Tarifa hawa buku saba naona baado wanaweweseka
 
Mandla jr unalipwa bei gani mkuu? Mana wasomi hawana ajira ,wenye ajira ni watu wajinga wajinga,nchi hii sera ya kuajiri wajinga imeshika kasi
 
Bonge la Strategy, Wao wamekimbilia Mahakamani kuzuia watu kuwajibishwa, Mawaziri wanawakebehi Wabongo kuwa hawatajiuzulu, Rais ana nunua muda Zaidi ili sakata lipoe!!! Hapa UKAWA/CHADEMA wanatakiwa kikaza Uzi hadi kieleweke...
 
Tena tamthilia inakuburudisha ila prof.atakuzishia stress tu

Umeona eh.Yaani wengine tunasubiri aseme jamaninchi yenu na Ikulu yenu hii hapa,kama anakuja kutueleza hilo basi itabidi nianze kuwasha TV toka asubuhi ili isinipite.Lakini kwa sasa bora kumwangalia Anne Kansiime kuliko Profwa Kichina
 
eti macho na masikio ya watanzania .si mwende ukatolee moshi mjini maana mmehamia huko kama nyumbu

Kama wewe Hupendi kwenu ...kwa sababu yetote ile its up to you ...MTU JIVUNIE KWENU NYUMBANI KWENYE ASILI YA MABABU......
HATA KABLA YA UHURU ...MILIMA YA UKANDA WA KASKAZINI ILIKUWA ASALI NA MAZIWA ...NENDA HATA HAPO LUSHOTO UTAFIKIRI UPO ULAYA ......HATA KAMA VIPI NENDA LIKIZO TU ZIPO HOTELI...
SO KWA WENGINE WETU KURUDI NYUMANI ITS A CULTURE ....SIO UNAKULA TU MJINI UNANENEPEANA BILA HATA KURUDISHA KIDOGO KWENU .....SO WACHA WATU WAKAJIACHIE KWENYE MAHEKALU YAO YA URITHI AU YAKUJENGA WAO ...NA MASHAMBA YAO ...WASHEREHEKE....
 
Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA leo ambapo viongozi wakuu wa chama hicho wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa wanatarajiwa kuzungumza na wananchi kupitia waandishi wa habari.

Mkutano huo wa wanahabari utafanyika makao makuu ya CHADEMA Kinondoni DSM kuanzia saa 6 mchana!


Viongozi hao wanatarajiwa kutoa maazimio ya Kamati Kuu ya dharura iliyokutana jana jijini DSM.
acha ushabiki wa kijinga wewe, hayo labda macho ya wachaga ambayo yameelekezwa kwenye saccos ya MTEI
 
rais haongei leo.. Mpaka jumatatu ijayo!! Chanzo clouds fm


yes wamekubaliana na seth angoje kesi ifunguliwe ...ili aseme '" hili silisemei ...miye lipo mahakamani" na safari hii waana usalama wajiandae ..kuna baadhi ya wana ccm wamepanga kumpiga mayai visa ...kwa kuwaulia chama
 
Wasije kuuza nchi kwa wakoloni
Nchi ilishauzwa zamani sana na chama cha zamani(CCM). Kwani Tanzanite inapatikana wapi? kwani wenye dhahabu ya geita ni watanzania? au Wenye almasi ya Mwadui ni Watanzania, Vivyo hivyo itakuwa na gesi n.k. umechelewa sana ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom