Watupe na mrejesho wa safari ya vibaraka wao Ujerumani
PM Pinda alikuwa hapa UK few days ago, alivyorudi alikupa mrejesho? Oooh, nasiikia alipita middle east, ukipata mrejesho yuhabarishe
Watupe na mrejesho wa safari ya vibaraka wao Ujerumani
Kweli Chadema chama cha Wakristo. Mkutano Ijumaa saa sita mchana! Imagine mkutano uwe saa 3 asubuhi Jumapili!. Wachaga hawa hawajali sensitivity za wengine. Ma decoy Salum Mwalimu na Prof Safari hawalioni hilo?
Siyo tu utabiri wao wa kuhusu Chadema kufa kabla ya 2015, kama ilivyokuwa ikitabiriwa na makada wao Wassira na Nape, kuwa utabiri wao umekuwa wrong, lakini sasa utabiri huo sasa umekuwa vice versa na unaelekea kuwageukia wao.Inaelekea wakijitikisa tu mnakosa usingizi. Imani yenu kuwa ni chama cha hovyo na kitakufa soon naona imeyeyuka.
Mandla jr unalipwa bei gani mkuu? Mana wasomi hawana ajira ,wenye ajira ni watu wajinga wajinga,nchi hii sera ya kuajiri wajinga imeshika kasi
Wazee wa ESCROW ,kwaheri 2015 ,Sijaju vijana wa Lumumba itabid wakawe ma house boys? kwan rushwa ndo zina waweka hapo Lumumba ,na baada 2015 mkoloni mweus akiondoka hakuna rushwa tena.
Mimi ni msomi wa Mzumbe. Niko Dodoma na nimeajiriwa na Serikali. Wasomi wengi sasa wanajiajiri zaidi kuliko kuajiriwa. Badilika
Siyo tu utabiri wao wa kuhusu Chadema kufa kabla ya 2015, kama ilivyokuwa ikitabiriwa na makada wao Wassira na Nape, kuwa utabiri wao umekuwa wrong, lakini sasa utabiri huo sasa umekuwa vice versa na unaelekea kuwageukia wao.
Kwani kutokana na mwenendo wa kisiasa unavyoendelea nchini, sasa ni CCM, ambayo most likely itakufa na tutaizika rasmi in the year 2015.
Tukifuata nyayo za jirani zetu Kenya na Zambia, ambao nao vyama vyao vikongwe vilivyowaletea uhuru toka kwa mkoloni, walishavizika rasmi, na vyama hivyo vya KANU kwa Kenya na UNIP kwa Zambia, hivi sasa vimebakia katika vitabu vya historia kuwa kulikuwa na kipindi, nchi hizo mbili za Kenya na Zambia, viliwahi kuwa na vyama vilivyokuwa vikiitwa KANU na UNIP!
Mimi ni msomi wa Mzumbe. Niko Dodoma na nimeajiriwa na Serikali. Wasomi wengi sasa wanajiajiri zaidi kuliko kuajiriwa. Badilika
chadema ilishakufa siku nyingi uchaguzi huu imebebwa na Ukawa walioitengeneza wenyewe na Escrow ya REGINALD MENGI
mrejesho wa PM unaonekana kwenye maendeleo ya nchiPM Pinda alikuwa hapa UK few days ago, alivyorudi alikupa mrejesho? Oooh, nasiikia alipita middle east, ukipata mrejesho yuhabarishe
Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA leo ambapo viongozi wakuu wa chama hicho wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa wanatarajiwa kuzungumza na wananchi kupitia waandishi wa habari.
Viongozi hao wanatarajiwa kutoa maazimio ya Kamati Kuu ya dharura iliyokutana jana jijini DSM.
Mkutano huo wa wanahabari utafanyika makao makuu ya CHADEMA Kinondoni DSM kuanzia saa 6 mchana!
Mzumbe? Mlikuwa darasa moja na Nape nini? Hamtofautiani sana kimawazo.
Eti mimi ni msomi!!!!!????? labda usomi wa wizi wa kuraMimi ni msomi wa Mzumbe. Niko Dodoma na nimeajiriwa na Serikali. Wasomi wengi sasa wanajiajiri zaidi kuliko kuajiriwa. Badilika
Walienda kufanya yale mambo yao ambayo wamezoe kila wanapokwenda.Watupe na mrejesho wa safari ya vibaraka wao Ujerumani
nimekudharau sana !Kweli Chadema chama cha Wakristo. Mkutano Ijumaa saa sita mchana! Imagine mkutano uwe saa 3 asubuhi Jumapili!. Wachaga hawa hawajali sensitivity za wengine. Ma decoy Salum Mwalimu na Prof Safari hawalioni hilo?
Lakini uongo kwa chadema ni jadi yao kabisa hatushangai kabisa.Mtu kama Molemo, kwa umri wake haipendezi hata kidogo kuwa Muongo.
Analipwa na nani na kwa faida ya nani????
Huu uongo ndio ulimuharibia Ben Saanane CV!!!
Wasije kuuza nchi kwa wakoloni