POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,402
Mtu kama Molemo, kwa umri wake haipendezi hata kidogo kuwa Muongo.
Analipwa na nani na kwa faida ya nani????
Huu uongo ndio ulimuharibia Ben Saanane CV!!!
Press conference ya CHADEMA, cha ajabu maccm mna hamu nayo. Why?