wilchuma
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,102
- 333
Unamaanisha zile hesabu za Nape za 3+3= 33? Mbona zile hata mbulula wake wa Lumumba wameshtuka?
Ahahaha,hesabu za faraja fekii,ukweli unaumaa na wanaujua lumumba.
Unamaanisha zile hesabu za Nape za 3+3= 33? Mbona zile hata mbulula wake wa Lumumba wameshtuka?
Wasije kuuza nchi kwa wakoloni
Na mkulu anaongea leo??!!
Wanashindana au??!!
eti macho na masikio ya watanzania .si mwende ukatolee moshi mjini maana mmehamia huko kama nyumbu
Wasije kuuza nchi kwa wakoloni
Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA leo ambapo viongozi wakuu wa chama hicho wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa wanatarajiwa kuzungumza na wananchi kupitia waandishi wa habari.
Viongozi hao wanatarajiwa kutoa maazimio ya Kamati Kuu ya dharura iliyokutana jana jijini DSM.
Mkutano huo wa wanahabari utafanyika makao makuu ya CHADEMA Kinondoni DSM kuanzia saa 6 mchana!
Tumesha wachoka sasa.....
Mh Kikwete ataongea na Wananchi wote Jumatatu.......Na jambo kubwa na zito katika maongezi yake itakuwa ni
sakata zima la ESCROW na Uchaguzi Serikali za Mitaa.
Hii ndio hotuba muhimu na ya kuisubiri,,wananchi hawana muda wa Kumsikiliza M/Kiti na Katibu wa SACCOS.
eti macho na masikio ya watanzania .si mwende ukatolee moshi mjini maana mmehamia huko kama nyumbu
Wanataka kutuonyesha bango walilolikuta jijini Humburg mitaani hivyo tuchukue hatua haraka kabla ya mnada haujafanyika.
View attachment 212124
watugawie yuro walizopewa na kansela
Wasije kuuza nchi kwa wakoloni
Hii nchi ina marais watatu IN TOTAL.
Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA leo ambapo viongozi wakuu wa chama hicho wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa wanatarajiwa kuzungumza na wananchi kupitia waandishi wa habari.
Viongozi hao wanatarajiwa kutoa maazimio ya Kamati Kuu ya dharura iliyokutana jana jijini DSM.
Mkutano huo wa wanahabari utafanyika makao makuu ya CHADEMA Kinondoni DSM kuanzia saa 6 mchana!