Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Yaani wewe ndio huelewi kitu, Hakuna njia nyingine zaidi ya uwatumia wasaliti.Hivi ni nani asiyejua kua Mbarouk ana kadi ya ACT?Kazi ya hiyo kadi ni nini?Hizo m.3 alizopewa zilikua na kazi gain?

Mbona dr.slaa ana kadi ya ccm?
 
Wapiga kura wanamhitaji Mbowe sasa ninyi nini kinawauma? Achana na Chadema wachague mwenyekiti wao kama wanaridhika naye.

Achaa kuongeaa mamboo bila fact wewe asa wapigaa kuraa gani wanao muitaji au c angesubiri mpaka uchaguzz mkuu kwan wapiga kura wanataka m/kiti?
 
Tuache kufikiria kwa kutumia Makalio ; yaani mtu mmoja anawaze kubadili majina ya Wagombea? Mbowe sio anae manage database. Labda pengine msichokifahamu ni kwamba haya majina yako kwenye database na sio kichwani mwa mtu kama Magamba mlivyo! Tumieni vichwa vya juu kuwaza na sio vichwa vya chini
 
Kansa aache kuweweseka Mbowe alishatoa mwaliko kwa wale wote wanaojiona kuwa wanaweza kupimana ubavu na Mbowe wajitokeze.Kama ana ubavu asubiri siku ya kuingia ulingoni wapimane ubavu.
 
"Mbowe alibadilisha majina ya Chiku Abwao na Susan Kiwanga huku akiwapachika Susan Lyimo na Lucy Uwenya. Baadaye Mbowe alikiri kosa na kuomba msamaha katika kikao cha Kamati Kuu,”alisema.
Alisema hayo yote yanadhihirisha pasipo shaka kwamba mwenyekiti huyo amekosa uaminifu hivyo anapaswa kunyang’anywa nafasi hiyo ya uenyekiti."

Alisema baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 chama kilipata nafasi tano za kuteua nafasi wabunge wa viti maalumu kuingia katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, ambapo Kamati Kuu kilipitisha majina ya Suzan Kiwanga, Chiku Abwao, Halima Mdee, Mhonga Ruhanywa na Grace Kiwelu lakini Mbowe alibadilisha majina hayo.


source; magazetini leo.

My take; Je ni halali kutumia madaraka yako vibaya kuchakachua haki za wengine na kuweka ndugu zako?

Ameanza visingizio kabla ya kufika ulingoni.
 
Tuache kufikiria kwa kutumia Makalio ; yaani mtu mmoja anawaze kubadili majina ya Wagombea? Mbowe sio anae manage database. Labda pengine msichokifahamu ni kwamba haya majina yako kwenye database na sio kichwani mwa mtu kama Magamba mlivyo! Tumieni vichwa vya juu kuwaza na sio vichwa vya chini

mapenzi huficha ulemavu. wewe una mapenzi na mbowe huwezi kuona ulemavu wake
 
Sisiemu mnachekesha sana;jambo lisilo wahusu lawawashia nn nyie watu? uwepo wa Mbowe kwa sasa kuwa M/kiti CDM unahitajika sana
 
Hiv nyie lumumba bila kumtaja mbowe inakuaje c mkampe mav kabisa!
 
Back
Top Bottom