Mbowe 'awekewa kisu' shingoni na Lowassa

Mbowe 'awekewa kisu' shingoni na Lowassa

Wakati zito anamuuliza Lowasa 'mzee vipi!? Mbona kila anayechomoka anaelekea CDM? Hii inaniua mzee!'
Maana hata machali alihakikishiwa kuwa jamaa yupo njiani kujiunga nayo.

Mkuu, nikushukuru tu kwa kumnyamazisha huyu muhuni aliyetumwa na ACT-CCM kuchafua UKAWA. Yaani propaganda zitamiminwa humu ili tuu kutunyanyasa kisaikolojia.
Hatutayumbishwa ka huyo mtoto wa Machali alivyokumbwa na ulagai wa zzk. Haoni hayo mafuriko yanavyo tiririka kutoka bwawa la maji taka?? Pole zao walitoboa bwawa sasa halifungiki wala kuzibika. ACT hakika itasombwa na haya mafuriko Oktoba hiiiiiii
 
Taarifa zilizonifikia ni kwamba CHADEMA ipo kwenye wakati mgumu sana baada ya Lowasa kuweka masharti (conditions) kuwa ACT WAZALENDO lazima iwe sehemu ya UKAWA ili kuongeza nguvu katika umoja huo.

Inasemekana kuwa upinzani mkubwa umetoka kwa Mh. Mbowe ambaye ametafsiri sharti hilo kuwa ni sawa na kuwekewa kisu shingoni na Team Lowassa na wala kamwe hayupo tayari kurudia matapishiyake.

Inasemekana kuwa baada ya mvutano mkubwa, Mh amesikika akitishia kuingiza document ya Memorandum of Understanding kwenye 'Shredder' (Machine ambazo hutumiwa maofsini kuharibu documents/karatasi zenye taatifa za siri).
Wazee/washauri wakuu wa chama wamelalamikia jambo la Mh. Mbowe kushindwa kuweka "personal issues" pembeni kwa maslahi mapana ya chama.

Swali la kujiuliza: Hizi siasa za vinyongo na uhasama zitaisha lini?

Karibuni tujadili haya mambo muhimu kwa mustakabali wa Taifa.

Umbea mtupu na upuuzi wa hali ya juu!
 
Mbona sioni ni kwa namna gani Lowassa yuko kwenye position ya kuweka sharti lolote?

Leverage ya Lowassa ni financial muscles zake...in addition, udhaifu wa "mwenyekiti" (kwenye maswala ya pesa) unamuongezea nguvu zaidi Lowassa kwenye negotiation.
 
Taarifa zilizonifikia ni kwamba CHADEMA ipo kwenye wakati mgumu sana baada ya Lowasa kuweka masharti (conditions) kuwa ACT WAZALENDO lazima iwe sehemu ya UKAWA ili kuongeza nguvu katika umoja huo.

Inasemekana kuwa upinzani mkubwa umetoka kwa Mh. Mbowe ambaye ametafsiri sharti hilo kuwa ni sawa na kuwekewa kisu shingoni na Team Lowassa na wala kamwe hayupo tayari kurudia matapishiyake.

Inasemekana kuwa baada ya mvutano mkubwa, Mh amesikika akitishia kuingiza document ya Memorandum of Understanding kwenye 'Shredder' (Machine ambazo hutumiwa maofsini kuharibu documents/karatasi zenye taatifa za siri).
Wazee/washauri wakuu wa chama wamelalamikia jambo la Mh. Mbowe kushindwa kuweka "personal issues" pembeni kwa maslahi mapana ya chama.

Swali la kujiuliza: Hizi siasa za vinyongo na uhasama zitaisha lini?

Karibuni tujadili haya mambo muhimu kwa mustakabali wa Taifa.
Hata ningekuwa mimi nisingekubali kwa Zitto kuwa sehemu ya Ukawa jamani, Edo aje lakini ACT hapana
 
Taarifa zilizonifikia ni kwamba CHADEMA ipo kwenye wakati mgumu sana baada ya Lowasa kuweka masharti (conditions) kuwa ACT WAZALENDO lazima iwe sehemu ya UKAWA ili kuongeza nguvu katika umoja huo.

Inasemekana kuwa upinzani mkubwa umetoka kwa Mh. Mbowe ambaye ametafsiri sharti hilo kuwa ni sawa na kuwekewa kisu shingoni na Team Lowassa na wala kamwe hayupo tayari kurudia matapishiyake.

Inasemekana kuwa baada ya mvutano mkubwa, Mh amesikika akitishia kuingiza document ya Memorandum of Understanding kwenye 'Shredder' (Machine ambazo hutumiwa maofsini kuharibu documents/karatasi zenye taatifa za siri).
Wazee/washauri wakuu wa chama wamelalamikia jambo la Mh. Mbowe kushindwa kuweka "personal issues" pembeni kwa maslahi mapana ya chama.

Swali la kujiuliza: Hizi siasa za vinyongo na uhasama zitaisha lini?

Karibuni tujadili haya mambo muhimu kwa mustakabali wa Taifa.

Wewe ni mwongo, Mzandiki na mfitini. Chama hakiendeshwi kama genge la mtu binafsi
 
Time should run as fast as it can so that we can't be able to hear these rubishes over and over
 
Pamoja na yote hayo lakini ukweli ni kwamba ACT ikijiunga na ukawa basi ccm hawezi kusimama lakini ninachohofia ni ubinafsi pamoja, uchu wa madaraka pamoja na visasi vitatawala, kwahiyo basi badala ya kujenga tutabomoa nchi. Bora ibaki kama ilivyo sasa.
 
Unatuita tujadili speculations? Hili Taifa linaelekea kubaya...tunazalisha kizazi cha speculation, yaani ni udaku tu hadi kwenye mambo ya msingi.
 
Ni haki ya Mbowe kufanya hivyo kwani anajua vizuri chama kilikotoka, kilikopitia na pia zitto alidiroki kumtukana mbowe matusi ya nguoni na utu wake wakati Mbowe ndie aliyemfikisha zitto alipo. Nami namuunga mkono kumkazia zitto kama VP lowasa akaungane na zitto kwenye chama cha Asasi ya Chama Tawala
 
Back
Top Bottom