Mbowe 'awekewa kisu' shingoni na Lowassa

Mbowe 'awekewa kisu' shingoni na Lowassa

Hakuna haja ya kulumbana na Tetesi ila sasa lazima useme sources ya tetesi ni nin/wapii bwana mdogo!!!!
 
Mambo ya ACT-CCM Huyo ya kupika propaganda yameshatukinaisha. Kesho vyama vinavyounda UKAWA ndipo vitakapotoa ratiba yake.

Aibu kwako mleta mada za uongo.
 
Hizi habari sio za kweli. Ni mwendelezo wa siasa za kitapeli, kilaghai na kipuuzi ambazo kwa muda mrefu sasa zimekuwa zinaenezwa na CCM-ACT na mawakala wake. CHADEMA wanaendelea na kura za maoni kuanzia leo wakijandaa na vyama washirika ndani ya UKAWA kuchukua nchi October, 2015. Mleta uzi km huu ni tapeli, muongo na mnafiki. Tutakufuatilia tujue uko sehemu gani tukushughulikie. Mods wawe wanawapa ban wahuni kama hawa ambao kazi yao ni kueneza uongo na uzushi. Hiyo ACT sio chama cha siasa, ni genge la wahuni, majizi, matapeli, walaghai na wasaliti. ACT=CCM

Utamfuatilia wewe na nani kwa maslai ya nani ,mnakikundi cha kung'oa watu kucha.?
 
Utamfuatilia wewe na nani kwa maslai ya nani ,mnakikundi cha kung'oa watu kucha.?

Tunataka aache kuleta upuuzi na propaganda zisizo na maana hapa jamvini. Wala sikuwa na maana hiyo ya kung'oa watu kucha mkuu. Hiyo ni kazi ya CCM na mawakala wake
 
Huwa naamini katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu,lolote linaweza kutokea labda kama kuna uadui binafsi baina ya wanasiasa.

Hiyo ni misemo tu na sio mara zote inafanya kazi kwani itategemea uhasama wa adui yako ulikusababishia madhara kiasi gani.Pia kama adui alishakiri,kuomba msamaha na kubadilika.Hata hivyo kama unakwenda kuomba hifadhi ukanipa sharti la kumhifadhi na adui yangu ulieandamana nae au kumsamehe kwanza adui yangu ambae kwangu hajabadilika nina haki ya kukataa. Hata hivyo kwa hili kama ni kumuingiza na Zitto chadema wakatae sharti hilo. Kwanza sio 100% gurantee kuwa Lowassa akigombea kwa tiketi ya ukawa atapita. Suala la mtaji wa Act kwa ujumla hawana mtaji watu bado. Suala la muungano wa ukawa nasema hivi sasa sio wakati wa kuchenguana they can now go for COALITION OF THE WILLING.
 
Tar 15 July 2015 Mbatia alituambia kwamba mgombea urais kupitia UKAWA ameshapatikana na atatangazwa ndani ya siku 6-7 (yaani kesho au kesho kesho kutwa)!

Tunasubiri.

cc Tumaini Makene
 
Last edited by a moderator:
Hizi habari sio za kweli. Ni mwendelezo wa siasa za kitapeli, kilaghai na kipuuzi ambazo kwa muda mrefu sasa zimekuwa zinaenezwa na CCM-ACT na mawakala wake. CHADEMA wanaendelea na kura za maoni kuanzia leo wakijandaa na vyama washirika ndani ya UKAWA kuchukua nchi October, 2015. Mleta uzi km huu ni tapeli, muongo na mnafiki. Tutakufuatilia tujue uko sehemu gani tukushughulikie. Mods wawe wanawapa ban wahuni kama hawa ambao kazi yao ni kueneza uongo na uzushi. Hiyo ACT sio chama cha siasa, ni genge la wahuni, majizi, matapeli, walaghai na wasaliti. ACT=CCM

Kwa maelezo yako haya, bado unabishi kuwa nyie ni Chama cha Manyang"au na Magaidi?
 
Kwa kuwa ni tetesi ngoja nisubiri taarifa ya uhakika
 
Hizi habari sio za kweli. Ni mwendelezo wa siasa za kitapeli, kilaghai na kipuuzi ambazo kwa muda mrefu sasa zimekuwa zinaenezwa na CCM-ACT na mawakala wake. CHADEMA wanaendelea na kura za maoni kuanzia leo wakijandaa na vyama washirika ndani ya UKAWA kuchukua nchi October, 2015. Mleta uzi km huu ni tapeli, muongo na mnafiki. Tutakufuatilia tujue uko sehemu gani tukushughulikie. Mods wawe wanawapa ban wahuni kama hawa ambao kazi yao ni kueneza uongo na uzushi. Hiyo ACT sio chama cha siasa, ni genge la wahuni, majizi, matapeli, walaghai na wasaliti. ACT=CCM

Mbona unaukimbia ukweli? Mbona unapambana na kivuli chako? Habari hizi ni za ukweli 100%. Unapomtishia mtoa mada unaonyesha ni jinsi gani usivyojua siasa, unavyofanya siasa za virusi vya ebola na ukimwi, na za maji taka pia. Wewe umepewa taarifa. Unasema ni za uongo. Na ukiona imekuwa utasemaje? We jipange tu. ACT sio chama cha wahuni ila wewe ndo mhuni tena mwalimu wa wahuni. Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
 
Kwan cdm bila ACT haiwez? Uzushi tu na tutackia mengi sana, mi naona ACT inaiitaji cdm kwa sana
 
Mbowe atafakari umuhimu wa Zito kwenye umoja huo .
Kama ni kweli basi chadema kisipoangalia kitaendelea kuwa chama cha upinzani milele.Kwenye siasa za demokrasia hakuna adui. Hapo ni hoja tu hakuana vita za msituni ya kutumia bunduki hivyo hakuna haja ya kujenga chuki.Sisi wote ni watanzana.
Wapinzani inabidi waanze kwanza kwa kuitoa CCM madarakani kwa kura baada ya hapo wajipange kuleta maendeleo kwa kushika nyadhifa zote muhimu kuanzia wakurugenzi ,wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa,mawaziri,mabalozi na wakuu wa idara mbalimbali.Huko ndiko wanapoumizwa wananchi. Uraisi wamwachie Lowasa.

Point yako ni ya msingi sana ila hawako tayari.
 
Tunataka aache kuleta upuuzi na propaganda zisizo na maana hapa jamvini. Wala sikuwa na maana hiyo ya kung'oa watu kucha mkuu. Hiyo ni kazi ya CCM na mawakala wake

Halafu mnaweza mkawa mnasingizia kuwa CCM ndo wang'oa kucha kumbe hata CHADEMA mpo wang'oa kucha wazuri tu.
 
Hizi habari sio za kweli. Ni mwendelezo wa siasa za kitapeli, kilaghai na kipuuzi ambazo kwa muda mrefu sasa zimekuwa zinaenezwa na CCM-ACT na mawakala wake. CHADEMA wanaendelea na kura za maoni kuanzia leo wakijandaa na vyama washirika ndani ya UKAWA kuchukua nchi October, 2015. Mleta uzi km huu ni tapeli, muongo na mnafiki. Tutakufuatilia tujue uko sehemu gani tukushughulikie. Mods wawe wanawapa ban wahuni kama hawa ambao kazi yao ni kueneza uongo na uzushi. Hiyo ACT sio chama cha siasa, ni genge la wahuni, majizi, matapeli, walaghai na wasaliti. ACT=CCM



U look so stu.pid politically...

It seems ur so primitive in terms of seeing rare opportunities, hujui maana kabisa ya siasa ww, kiazi kabisa...
 
Hizi Tetesi siku hizi limekuwa neno sawa na UDAKU / UWONGO / POROJO
 
Mbona unaukimbia ukweli? Mbona unapambana na kivuli chako? Habari hizi ni za ukweli 100%. Unapomtishia mtoa mada unaonyesha ni jinsi gani usivyojua siasa, unavyofanya siasa za virusi vya ebola na ukimwi, na za maji taka pia. Wewe umepewa taarifa. Unasema ni za uongo. Na ukiona imekuwa utasemaje? We jipange tu. ACT sio chama cha wahuni ila wewe ndo mhuni tena mwalimu wa wahuni. Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.

Teh teh teh teh teh teh teh teh teh! ACT sio chama mkuu, nimesema ni genge la wahuni & matapeli. Hayo mengine ya kwako. Mambo ya propaganda sisi tunayapuzia tu. Wenzenu tuko field tunapiga kazi. Nyinyi na genge lenu endeleeni na propaganda zenu za kipuuzi, ila mkileta upuuzi kama hivi lazima tujibu. Hatuwezi kukaa kimya kukanusha upuuzi kama huu
 
U look so stu.pid politically...

It seems ur so primitive in terms of seeing rare opportunities, hujui maana kabisa ya siasa ww, kiazi kabisa...

Umebugi step man. Am not a stupid as you think. I decry nonsense and trivial stories from Lumumba in cooperation with their puppet, ACT gang of deceits & betrayers
 
Back
Top Bottom