Mbowe 'awekewa kisu' shingoni na Lowassa

Mbowe 'awekewa kisu' shingoni na Lowassa

Mbowe atafakari umuhimu wa Zito kwenye umoja huo .
Kama ni kweli basi chadema kisipoangalia kitaendelea kuwa chama cha upinzani milele.Kwenye siasa za demokrasia hakuna adui. Hapo ni hoja tu hakuana vita za msituni ya kutumia bunduki hivyo hakuna haja ya kujenga chuki.Sisi wote ni watanzana.
Wapinzani inabidi waanze kwanza kwa kuitoa CCM madarakani kwa kura baada ya hapo wajipange kuleta maendeleo kwa kushika nyadhifa zote muhimu kuanzia wakurugenzi ,wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa,mawaziri,mabalozi na wakuu wa idara mbalimbali.Huko ndiko wanapoumizwa wananchi. Uraisi wamwachie Lowasa.

Zito na EL wanatosha kabisa ACT, si ndio rais aliyekuwa anasubiriwa? UKAWA ya nini tena jameni? Au EL haamini kama kura za ACT pekee zitatosha? ACT acheni kupotosha wenzenu, wajinga siku hizi kazi kuwapata! ohooo
 
Zito na EL wanatosha kabisa ACT, si ndio rais aliyekuwa anasubiriwa? UKAWA ya nini tena jameni? Au EL haamini kama kura za ACT pekee zitatosha? ACT acheni kupotosha wenzenu, wajinga siku hizi kazi kuwapata! ohooo


Tangu lianze vuguvugu la kuhama chamani-kutoka CCM kwenda kwingineko,wahamaji wamekuwa wakihamia CHADEMA. Kuanzia Simiyu hadi Monduli;Shinyanga hadi Muleba mambo ni hayo hayo.

Wamehama madiwani wa kutosha (wa mwisho ni wa jana wa kule Kamachumu Muleba). Wabunge wawili nao wameshagoma kuchukua fomu za CCM: Lembeli na Bulaya.

Pamoja na kwamba hawajataja vyama watakavyoibukia, I bet, wataibukia CHADEMA. Watakapoamua kugombea nje ya CCM. Labda wasigombee kabisa. Vuguvugu hili,kwetu wachambuzi wa kisiasa,lilitarajiwa. Majeraha ya Dodoma yatapuuzwa lakini chama kitaumizwa. Hilo lipo wazi kama nazi. Tutaficha kucha lakini upele utatuumbua.

Kuhama chama hakunishtui. Hakunioneshi tukio la kustaajabisha kisiasa. Wapo wazito kabisa chamani,kama Wasira,Tambwe na Makongoro,waliohama wakimwaga lawama lakini wakarejea wakifurahia. Na hata kuponda walipopapenda wakati wanakwenda.

Swali langu,hasa wakati huu wa uchaguzi,ni kwanini iwe CHADEMA tu? Kwanini kila mhamaji anahamia CHADEMA tu na si kwingineko? Tanzania haina vyama viwili. Waende na kwingine.

Kutakuwa na tatizo au tuzo ima wanakotoka au wanakowenda. Si bure! Viongozi wa CCM na CHADEMA wamulike vyema kabla ya kufungwa kwa dirisha hili la usajili ambao kwasasa halihitaji akili. Kutakuwa na jambo,na kuna mkono mtu nawaambia!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
 
Point yako ni ya msingi sana ila hawako tayari.


Tangu lianze vuguvugu la kuhama chamani-kutoka CCM kwenda kwingineko,wahamaji wamekuwa wakihamia CHADEMA. Kuanzia Simiyu hadi Monduli;Shinyanga hadi Muleba mambo ni hayo hayo.

Wamehama madiwani wa kutosha (wa mwisho ni wa jana wa kule Kamachumu Muleba). Wabunge wawili nao wameshagoma kuchukua fomu za CCM: Lembeli na Bulaya.

Pamoja na kwamba hawajataja vyama watakavyoibukia, I bet, wataibukia CHADEMA. Watakapoamua kugombea nje ya CCM. Labda wasigombee kabisa. Vuguvugu hili,kwetu wachambuzi wa kisiasa,lilitarajiwa. Majeraha ya Dodoma yatapuuzwa lakini chama kitaumizwa. Hilo lipo wazi kama nazi. Tutaficha kucha lakini upele utatuumbua.

Kuhama chama hakunishtui. Hakunioneshi tukio la kustaajabisha kisiasa. Wapo wazito kabisa chamani,kama Wasira,Tambwe na Makongoro,waliohama wakimwaga lawama lakini wakarejea wakifurahia. Na hata kuponda walipopapenda wakati wanakwenda.

Swali langu,hasa wakati huu wa uchaguzi,ni kwanini iwe CHADEMA tu? Kwanini kila mhamaji anahamia CHADEMA tu na si kwingineko? Tanzania haina vyama viwili. Waende na kwingine.

Kutakuwa na tatizo au tuzo ima wanakotoka au wanakowenda. Si bure! Viongozi wa CCM na CHADEMA wamulike vyema kabla ya kufungwa kwa dirisha hili la usajili ambao kwasasa halihitaji akili. Kutakuwa na jambo,na kuna mkono mtu nawaambia!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
 
Wewe nani? Chama chetu tunajua tunavyoendesha. Tulimtoa Zitto kwa sababu aliingilia maslahi yetu.
Mbowe atafakari umuhimu wa Zito kwenye umoja huo .
Kama ni kweli basi chadema kisipoangalia kitaendelea kuwa chama cha upinzani milele.Kwenye siasa za demokrasia hakuna adui. Hapo ni hoja tu hakuana vita za msituni ya kutumia bunduki hivyo hakuna haja ya kujenga chuki.Sisi wote ni watanzana.
Wapinzani inabidi waanze kwanza kwa kuitoa CCM madarakani kwa kura baada ya hapo wajipange kuleta maendeleo kwa kushika nyadhifa zote muhimu kuanzia wakurugenzi ,wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa,mawaziri,mabalozi na wakuu wa idara mbalimbali.Huko ndiko wanapoumizwa wananchi. Uraisi wamwachie Lowasa.
 
Nasubiri kuona jinsi Laigwanan atakapokua anamgaragaza naniliu majukwaani...lazima tujue mhusika namba moja wa RICHMOND,ESCROW etc etc... manake kama Mnikulu wa Ikulu nae alipata mgao wake wa hela ya mboga sasa mkubwa sijui alipata kiasi gani, lazima tujue viroba vya stanbic benki vilienda Magogoni, Rukwa au bagamoyo!!
 
Kama walimuona Lowassa hafai hapo awali na sasa anafaa, iweje kwa Zitto isiwe vivyo hivyo? Wanasahau kuwa kwenye negotiations maadui huwa wanaweka common ground ili wote kufaidika.
Mwanamayu huwezi kumlinganisha LOWASSA na nyepesi
 
Last edited by a moderator:
Hatuitaki act ukawa. Ikiingia ukawa bora niipigie ccm. Wala hatumtaki lowassa aje chadema, akae huko huko CCM awe anatuletea watu. Basi
 
Nasubiri kuona jinsi Laigwanan atakapokua anamgaragaza naniliu majukwaani...lazima tujue mhusika namba moja wa RICHMOND,ESCROW etc etc... manake kama Mnikulu wa Ikulu nae alipata mgao wake wa hela ya mboga sasa mkubwa sijui alipata kiasi gani, lazima tujue viroba vya stanbic benki vilienda Magogoni, Rukwa au bagamoyo!!


ahahaaa...patamu hapo....!!!

Yaani huwaga Lowassa akiongea hangati maneno anatoa ma bomu puuuhhh...!!! Kama Yesu vile... ana misamiati mizito ya kushindwa kujibu...ooohh..

I can't wait, seeing him ktk jukwaa akiipiga CCM kifo cha mende, maana hapo ataigonga CCM za kichwa hadi kifo...

Na watu wanavyomsikiliza weee, akiaamua kujiachia jukwani kama Mesai vile uwanjani, CCM bye byee.. na alivyo na machungu...haahaaaaa ataongea nakwambia kama kang'atwa na nyuki kwa uchungu... huku kala kitu cha Arushaaaa....hahaaaaa

Watu wa Arusha wababe sana, sasa ndio utamjua Mmasai, akichanganya na Uchungu wa Sokoine, wee hawezi kukubali, atamaliza watu, najua atakuwa Rais saa 2 asubuhi, sbb Magufuli hakuna wa kumpigia kampeni...yaani naisubiria hiyo mechi, hahaaa
 
Wakati zito anamuuliza Lowasa 'mzee vipi!? Mbona kila anayechomoka anaelekea CDM? Hii inaniua mzee!'
Maana hata machali alihakikishiwa kuwa jamaa yupo njiani kujiunga nayo.

Imekula kwake maana alibaki kama fisi anasubiria mkono uanguke. Na sasa kaishiwa hela ya kuzunguka labda anataka ashikwe mkono ndo atoke
 
Hizi porojo za lowassa kuhama CCM zitaachwa lini?
 
Nijuavyo mbowe akili yake finyu sana akipewa fungu hana shida n jambo lolote lile.
 
kwa kubabaika huku,CDM na ukawa yao,mgombea wa UKAWA atatangazwa wakati Magufuli anaapishwa,sasa kwa bahati nasibu hiyo kudhani kila mtu anaweza kuwa rais wao,kweli wanaweza kushika nchi hawa kweli?ama wanataka kuleta maigizo
 
Back
Top Bottom