DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Taarifa zilizonifikia ni kwamba CHADEMA ipo kwenye wakati mgumu sana baada ya Lowasa kuweka masharti (conditions) kuwa ACT WAZALENDO lazima iwe sehemu ya UKAWA ili kuongeza nguvu katika umoja huo.
Inasemekana kuwa upinzani mkubwa umetoka kwa Mh. Mbowe ambaye ametafsiri sharti hilo kuwa ni sawa na kuwekewa kisu shingoni na Team Lowassa na wala kamwe hayupo tayari kurudia matapishiyake.
Inasemekana kuwa baada ya mvutano mkubwa, Mh amesikika akitishia kuingiza document ya Memorandum of Understanding kwenye 'Shredder' (Machine ambazo hutumiwa maofsini kuharibu documents/karatasi zenye taatifa za siri).
Wazee/washauri wakuu wa chama wamelalamikia jambo la Mh. Mbowe kushindwa kuweka "personal issues" pembeni kwa maslahi mapana ya chama.
Swali la kujiuliza: Hizi siasa za vinyongo na uhasama zitaisha lini?
Karibuni tujadili haya mambo muhimu kwa mustakabali wa Taifa.
Inasemekana kuwa upinzani mkubwa umetoka kwa Mh. Mbowe ambaye ametafsiri sharti hilo kuwa ni sawa na kuwekewa kisu shingoni na Team Lowassa na wala kamwe hayupo tayari kurudia matapishiyake.
Inasemekana kuwa baada ya mvutano mkubwa, Mh amesikika akitishia kuingiza document ya Memorandum of Understanding kwenye 'Shredder' (Machine ambazo hutumiwa maofsini kuharibu documents/karatasi zenye taatifa za siri).
Wazee/washauri wakuu wa chama wamelalamikia jambo la Mh. Mbowe kushindwa kuweka "personal issues" pembeni kwa maslahi mapana ya chama.
Swali la kujiuliza: Hizi siasa za vinyongo na uhasama zitaisha lini?
Karibuni tujadili haya mambo muhimu kwa mustakabali wa Taifa.