Mbowe atolewa nje ya bunge

cjui unaongelea wilaya ipi hai kuna kila kitu maji shule zahanati mbunge wetu aligawa komputa kila shule ya sekondari bado tunamwamini sana mbunge wetu tunamwini sana tunamwombea aendelee na harakati za kuikomboa tz sisi wa hai tushakombolwe


Hakuna lolote nenda hai day pale uambiwe wanafunzi wangapi wanasoma tarakilishi..
 

mbowe ametembea nchi nzima na chopa akiwahamasisha watanzania kuhakikisha swala la maji limeingia kwenye katiba mpya.unataka nini tena???watanzania wengine jamani?????
 
Katika Tanzania una uzoefu na wapi ambako utakuta vitu vilivyoko Hai utafikuta uko. Wilaya ya hai kwa majimbo mengine ni Ulaya ndogo. Wewe shukuru kuzaliwa Hai ole wako ungezaliwa Mtwara, Lindi, Songea, Rukwa, Singida kwa Mwigula husingekuwa unapayuka hivyo.
Mimi kwangu Wilaya na jimbo la Hai liko juu kama Ulaya ndogo wewe kalia majungu wenzako tunalinea wivu tunatamani lingekuwa jimbo letu na tungekuwa na Mbunge kama Mbowe.

Katika maendeleo sinaga upambe mtu akiboronga kama kawaida...tunampasulia wazi wazi sipendagi undumilakuwili...
 
Tatizo mojawapo la technology ni hili maana kuna watu wasioona shida kupoteza muda na hicho ndicho anafanya mleta hoja, ingelikuwa kuandika haya inahusisha kalamu/wino na karatasi kadhaa naamini usingelikuja kihivi!
 
Katika maendeleo sinaga upambe mtu akiboronga kama kawaida...tunampasulia wazi wazi sipendagi undumilakuwili...
Mkuu kunawatu hawatakinkuambiwa ukweli hata kama wanamapungufu kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa jamii.
 
mbowe ametembea nchi nzima na chopa akiwahamasisha watanzania kuhakikisha swala la maji limeingia kwenye katiba mpya.unataka nini tena???watanzania wengine jamani?????

Kama wilaya tu imemshinda ataweza nchi nzima?
 
Kuna sauti za wabunge wa CCM zinasikika zikisema "KAMA ASKARI WAMESHINDWA WAWAACHIE WABUNGE WENYEWE". Hali ni tete kiukweli wabunge wanasukumana na askari

Taabu ya kuchagua mijitu mihuni kama wawakilishi wetu ndiyo matunda yake haya
 

KUB, mwenyekekiti wa Chama Taifa, Mbunge na vyeo kadhaa, bado anafanya mambo ya kitoto kama yale ya bungeni leo? jamani leo nimeamini bora ukawa maskini lakini ukapata utajiri wa elimu.
 
Afadhali nyinyi huko hai umeme mnaupata, tuulizeni sisi tuliopo huku mbinga, umeme ni msamiati vijijini, barabara za lami ni msamiati, sasa hivi bei ya kahawa ipo chini sana na wakulima wanahangaika sana! Na majimbo yetu yanaongozwa na chama tawala tangu uhuru!
 

kiukweli ndugai hafai hata kuongoza kikao cha familia tuu. nikiona tu yupo pale mbele bungeni nahamisha station nacheki kbc au citizen tv bunge la kenya lina radha nzuri kuliko la tz la kizamani sana. hadi sasa inaonesha kama hata wabunge wa Ccm hawaujui mswada wenyewe kwa vile wanaonesha kutogusa chochote kwa mswada badala yake wanashambulia upinzani tuu. kwa hyo wapinzani wasingetia ngumu CCM wangekaa kimya bungeni ovyoooooo ccm
 
Kinachofanyika bungeni ni kutisha watu waione chadema haina mantiki iliccm iendelee kutawala na kujilimbikizia mali kama ilivyo kama katiba ya serikali mbili itapita kama ccm wanavyotaka basi ccm watakuwa wanatawala kiimla na hapa wanataka kupunguza idadi ya wajumbe kutoka zanzibar wa bunge la katiba ilisuport ya serikali tatu ipungue kwenye bunge la katiba.
 
Mimi naishi hai lete uongo wako hapa..
Mkuu naona kichwa chako kimechoka na hujasoma vizuri,

mimi nimesema hivi wewe umetutoa data nzuri ukaonesha jinsi mbunge wa hai ambavyo hajafanya kitu,

lakini akaja mtu mmoja hapa akaanza kukutukana bila hoja wala mifano hata data hana anakwambia linganisha iramba na isimani lakini hajatoa data zozote,

mimi nikamwambia mbona anakutukana bure wala hajatoa hoja yoyote ya msingi sasa mkuu mbona umeshindwa kunielewa.
 
Inategemeana na kijiji chenyewe hai si pale mjini tu walitakiwa wawe na umeme vijiji vyote, sasa huyu form wao anavimba tu bungeni bila sababu.
 
Cdm ni chama kivuli na maendeleo ya jimbo lazima yawe kivuli. chagua ccm chama makini cha watu makini kwa maendeleo makini.
 
Last edited by a moderator:
CCM hakuna kitu. Kila mbunge anayeamka anasema CDM. Hivi kama siyo Upinzani, wabunge wa CCM si ingekuwa ni kusema YES to all government bill of laws??
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…