Mbowe atangaza operesheni ''Kata Funua''

Mbowe atangaza operesheni ''Kata Funua''

Slaa was the best strategist, hawa akina Mbowe na genge lao wapiga kelele tu. Wakamtoe kwanza jela Lema, sio kulialia. Kwa wakati huu, te best thing to do ni kutafuta imani kwa wananchi na kukijenga chama. Huu si muda wa mavurugu na kulalamika.
 
Kisebusebu na kiroho papo. Duniani mambo hayawezi kwenda kwa matakwa yako, na wala kisiasa wewe ni out of spot. Chadema itaendelea, na wewe utaendelea kulialia humu jf, na huo ndiyo mfumo wa maisha. Kulialia au kutolialia kwako hakuna impact yoyote maana kwa Chadema wewe pumba tu.
Mkuu "kilaga" samahan kwa hili swali wewe wa kike au kiume..? Ukinijib nitakuambia kitu
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
 
Kazi na iendelee...wasiokupenda wakilalamika jua umepatia so kandamizia hapohapo!! Wape katafunua za kutosha mbona wao walihangaika namara ma BRN,KILIMO UTI WA MGONGO,KILIMO CHAKUFA NA KUPONA,KILIMO KWANZA...nk lakini hola?
Kumbe nanyi mnataka "kutok hola" kama hao wa kilimo kwanza?
 
operation kata funua haitaponya njaa zetu...kwann wasije na operation wezesha wananchi angalau watupunguzie machungu ya kisoma namba!,watu tukakufa tukisoma namba yy anazid kuleta siasa badala ya msaada!
Hiyo njoo nayo wewe
 
We have been here before!

Are we still heading where Albert Einstein once said, insanity is doing the same thing over and over again, but expecting different results.

Mwaka 2008 CHADEMA iliibuka na operesheni samaki mkubwa (maarufu kama Oparesheni Sangara).

Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, kuliibuka matembezi ya maandamano.

Mwaka 2012 ikaanzishwa operation ya mabadiliko yaani Movement for Change (M4C).

Mwaka 2016, wameibuka na operesheni Ukuta (Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania) ambao wengine waliita Ukuta wa mabua na kabla ya jua kuzama, tunaambiwa kuna operesheni Kata Funua.

Haya ndio moja ya mapendekezo ya kikao cha Kamati Kuu kilichokaa juzi! Serious?

Buckle up dude and get ready for the ride of a misfiring lifetime!
Wanashida kweli yam
 
Mkuu "kilaga" samahan kwa hili swali wewe wa kike au kiume..? Ukinijib nitakuambia kitu
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Watu mmesikia kata funua mshaanza kulia lia,Chadema watawavuruga akili dadeki
 
Mbowe is a joke.

A big 'ol joke that ain't even funny.

The man who sold CHADEMA's soul for a mess of pottage keeps on coming up with these worthless so called operations....I mean....is that all they got?

He needs to go ASAP.
Ccm is Devil's reject.
 
Hawa watu wanawaza kuchujua dola na sio kumsaidia mwananchi apate maendeleo
 
We have been here before!

Are we still heading where Albert Einstein once said, insanity is doing the same thing over and over again, but expecting different results.

Mwaka 2008 CHADEMA iliibuka na operesheni samaki mkubwa (maarufu kama Oparesheni Sangara).

Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, kuliibuka matembezi ya maandamano.

Mwaka 2012 ikaanzishwa operation ya mabadiliko yaani Movement for Change (M4C).

Mwaka 2016, wameibuka na operesheni Ukuta (Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania) ambao wengine waliita Ukuta wa mabua na kabla ya jua kuzama, tunaambiwa kuna operesheni Kata Funua.

Haya ndio moja ya mapendekezo ya kikao cha Kamati Kuu kilichokaa juzi! Serious?

Buckle up dude and get ready for the ride of a misfiring lifetime!


Swali langu dogo tu je Chadema baada kutangaza hizo operation wanachama waliongezeka au hawakuongezeka? Je waliongeza idadi ya wenyeviti wa mtaa, madiwani na wabunge?, maana ndiyo ilikuwa lengo lao
 
Mbowe is a joke.

A big 'ol joke that ain't even funny.

The man who sold CHADEMA's soul for a mess of pottage keeps on coming up with these worthless so called operations....I mean....is that all they got?

He needs to go ASAP.

Nayafanyia utafiti maneno hayo, ungenipa taaria sahihi mkuu Nyani Ngabu ningekuunga mkono, naelewa fika kuwa CDM kuaminia kumepungua kwa asilimia kadhaa. Ila hilo la CDM kuuzwa please prove it.
 
operation kata funua haitaponya njaa zetu...kwann wasije na operation wezesha wananchi angalau watupunguzie machungu ya kisoma namba!,watu tukakufa tukisoma namba yy anazid kuleta siasa badala ya msaada!


Hii Ni kazi ya serikali iliyopo madarakani?, unataka kuniambia serikali yote iliyopo madarakani imeshindwa kabisa kuondoa matatizo ya wananchi mpaka waombe msaada upinzani?
 
Chadema na ccm ni walewale tu aaghhhhhh acha niishi maisha yangu
 
operation kata funua haitaponya njaa zetu...kwann wasije na operation wezesha wananchi angalau watupunguzie machungu ya kisoma namba!,watu tukakufa tukisoma namba yy anazid kuleta siasa badala ya msaada!

Endelea kuisoma namba , hasira zako usituletee sisi , chadema haiongozi serikali wala chadema haijala rambi rambi za Kagera wala kupunguza watu kazi au kutoajiri...
 
Hizi operation za Chama chetu lazima tufike mahali tufanye tathmini!!!!!!!!!!! je operation A ilifanikiwa kwa kiasi gani, kama kuna changamoto Chama ilikutana nazo je kwenye Operation B tutazikwepa vipi.

Tutachokwa na wananchi kwa operation nyingi..........bila mafanikio.
 
Back
Top Bottom