The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Hizo kura gawana kwa vyama vinne vilivyounda UKAWA,utajua chadema walipata kura ngapi
Hayo majimbo 100 mnayojivunia siyo nguvu ya chadema, ni baada ya kuachiana katika UKAWA
Chadema ilijengwa kabla ya ujio wa fisadi lenu,kwa mbinu za Dr Slaa, rejea matokeo ya serikali za mitaa yaliyopita, upinzani ulifanya vizuri kabla ya ujio wa fisadi lenu
Chadema ina mafanikio ya ruzuku kwa marengo ya muda mfupi
Kama chama, marengo ya muda mrefu kimefeli, subiri uchaguzi wa serikali za mitaa ujao, na uchaguzi mkuu ndo utajua umuhimu wa Dr Slaa, na ndo hapo utajua tamaa ya Mbowe ilivyoua CHAMA
Tunaongelea CHADEMA hapa, na kura hizo ni za CHADEMA mkubwa. Ugawanye kura umpe na nani mwingine na ni utaratibu wa wapi huo?
Hizo nyimbo za subiri sijui lini na lini ni ngonjera za kisiasa tu na hata wao CHADEMA I hope wanajua kuuimba huo wimbo mpaka mgonjwa anakufa!!
Kama wewe ni mbishi, muulize Mwigulu Nchemba na Marehemu Steven Wassira aliyekwisha kufa kisiasa tayari.
Ni kwa sababu waliimba wimbo huu huu tangu mwaka 2010 wa CHADEMA itakufa - itakufa, subirini mwaka 2015, subirini mwaka 2015 .......mwisho wa siku wamekufa wao......CHADEMA yaendelea kutesa na kuwa stronger and stronger than ever!!
Sasa na wewe naona unaibua wimbo wa zilipendwa badala ya kuiambia CCM ianze kujenga viwanda ili ifikapo mwaka 2019 watuoneshe!!
Na ole wenu mje mtuoneshe viwanda vya kufyatua tofali na watoto......ndipo mtakapokufa kifo cha mende wenyewe bila kutumia nguvu yoyote!!