Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,496
Wafuasi wa CDM na siasa za Tanzania kwa ujumla zina utoto mwingi.
Vinginevyo kwa etiquette za siasa, kiongozi unapotaka madarakani hasa kwa kushindwa uchaguzi au kumaliza muda wako.
Busara ni kukaa kimya na kuwacha uongozi mpya wa establish mandate yao ya dira ya chama; na namna moja ya kufanya hivyo ni kujizima data. Unapotea kwenye public life, ufanyi interview za kuongelea mambo ya chama na kuishi private life.
Mbowe kaonyesha uelewa mkubwa wa siasa baada ya kustaafu/kushindwa uchaguzi. Kawaachia uongozi mpya wafanye kazi yao. Mpaka sasa hajatia mdomo wake yuko kimya ndio inavyotakiwa kuwa.
Shida sasa ni mapoyoyo aliyo yaachia chama na wafuasi wao, wasioelewa mantiki ya Mbowe kujizima data ni kutoingilia dira ya uongozi mpya.
Yeye aliingia kimya-kimya tu kulipia BAWACHA wafanye shughuli yao bila ya kujitangaza.
Wafuasi wa Lissu wana utoto mwingi sana na hawajui siasa.
Vinginevyo kwa etiquette za siasa, kiongozi unapotaka madarakani hasa kwa kushindwa uchaguzi au kumaliza muda wako.
Busara ni kukaa kimya na kuwacha uongozi mpya wa establish mandate yao ya dira ya chama; na namna moja ya kufanya hivyo ni kujizima data. Unapotea kwenye public life, ufanyi interview za kuongelea mambo ya chama na kuishi private life.
Mbowe kaonyesha uelewa mkubwa wa siasa baada ya kustaafu/kushindwa uchaguzi. Kawaachia uongozi mpya wafanye kazi yao. Mpaka sasa hajatia mdomo wake yuko kimya ndio inavyotakiwa kuwa.
Shida sasa ni mapoyoyo aliyo yaachia chama na wafuasi wao, wasioelewa mantiki ya Mbowe kujizima data ni kutoingilia dira ya uongozi mpya.
Yeye aliingia kimya-kimya tu kulipia BAWACHA wafanye shughuli yao bila ya kujitangaza.
Wafuasi wa Lissu wana utoto mwingi sana na hawajui siasa.