Anamchana Kikwete na Ccm kwanba ktk kundi la 201 ameteua wajumbe 161 ambao ni makada na viongozi wa Ccm.
Anasema bajeti ya mchakato wa katiba haiawahi kujulikana bungeni ktk bajeti ya mwaka jana na hii.
Anasema UKAWA hawatarejea kushiriki kupitisha hila za Ccm.
Updates: Anamchana makamu wa pili wa Zanzibar kwa maneno yake kwamba Jussa si raia kwa vile ana asiri ya kihindi.
Anasema Ccm wanaendeleza kauli za kibaguzi na matusi kwa viongozi wa upinzani bila kujali nchi inaweza kuingia kwenye machafuko
Updates: Anatabiri nchi kuingia kwenye machafuko mwakani ikiwa uchaguzi utafanyika chini ya katiba hii.
Amemaliza anakuja Silinde
Anasema hawatakubali daftari jipya kama halitawashirikisha kutoa maoni yao.
Updates: Anasema pamoja na Waziri mkuu kulitangazia taifa kutofanyika mwaka huu kambi ya upinzani inajua kwamba maandalizi ya uchaguzi unaendelea.
Updates:
Anasema tume ya uchaguzi inashirikiana na Ccm kuhujumu wananchi kukosa haki ya kupiga kura.
Anasema Ccm inasajiri wapiga kura kwa kificho na inafanywa na mabalozi wa Ccm wala si NIDA au tume ya uchaguzi
Updates:
Anasema kuna mchakato unaendelea wa Biometric na mpango huo ni wa kifisadi maana unafanywa na vigogo wa serikali na familia zao
Updates:
Kuna hali ya hatari ilitangazwa Mtwara na haikutangazwa na rais na inawabana wapinzani kufanya siasa huko lakini Ccm inaruhusiwa!
Anasema Ccm wanasema serikali 3 ni gharama wanataka kutangaza kata ya Mbagala kuwa Wilaya!
Updates: Anaichana TBC kwa kukutisha matangazo wakati Lissu akisoma maoni ya wachache BMK. Anasema wana taarifa waziri wa habari ndo alitoa amri ya kukatisha matangazo
Upadets:
Anamchana Muhongo kwa kauli yake kwamba watanzania wanapaswa kuwekeza kwenye juice kwamba ni kauli ya dharau na alipaswa kuwajibishwa.