fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,542
Mm naona anaenda nje ya hoja za msingi na hii ndio tatizo la mbowe masuala ya bunge la katiba ni kule kule c huku hapa tunataka alete nondo za maana,ninacho kiona hapa malumbano matupu tuu
we bado mtoto maneno ya wakubwa huwezi yajuwa yote kaja kutangazia wananchi kuwa hawarudi bungeni adi ccm
waache ujinga wa kuongea mipasho kwenye bunge la katiba bwana mdogo mwanasiasa makini anapo pata nafasi kidogo
tu hutakiwa kuitumia kujibu mambo ambayo haja yajibu !! jifunze kutafakari acha uzuzu wa ccm :embarassed2: