Lizabon anaishi Rwanda
Natamani wakati ufike wa kuchangia ili tuwagonge hawa UKAWA mpaka wasuse bunge ka bajeti tubaki CCM tunaandaa bajeti yenye tija kwa taifa. Hawa UKAWA wanatupotezea muda tu
Great thinkers wapya hao wasikupe shida, ndo kwanza wanaanza kufuatilia bunge.
Naishi Mtaa wa Kibulang'oma, Kata ya Lizaboni, Wilaya na Manispaa ya Songea Mjini, Mkoa wa Ruvuma, nchi ya Tanzaniakwani we unaishi wapi ?
Freeman Mbowe:Kauli ya wana CCM kuwa Jussa sio raia ni ya kibaguzi na inapaswa kulaaniwa maana inajenga chuki"
CCM tunaweza kufanya jambo bila nyie mburulaz wa upinzani. Ila Nyie Hamuwezi kufanya jambo bila ya serikali ya CCMIli mbaki peke yenu mfisadi nchi vizuri. Jamani CCM hamna huruma na uzalendo na nchi hii? Mnafundishwa la kufanya ili nchi isonge mbele mnatamani watoke nje? Nina wasi wasi na nautilia mashaka uraia wako
Naishi Mtaa wa Kibulang'oma, Kata ya Lizaboni, Wilaya na Manispaa ya Songea Mjini, Mkoa wa Ruvuma, nchi ya Tanzania
Mkuu Skype, huyu kibo10 kama zezeta vile. Wakati anaongea Silinde, yeye anatupia updates za MboweKamua baba kamua baba, lete ma-updates tuelewe kinachojiri
Natamani wakati ufike wa kuchangia ili tuwagonge hawa UKAWA mpaka wasuse bunge ka bajeti tubaki CCM tunaandaa bajeti yenye tija kwa taifa. Hawa UKAWA wanatupotezea muda tu
Nimeota mbowe na lissu...wanaviziwa na chemba awaue
Nimeota mbowe na lissu...wanaviziwa na chemba awaue
Wangoni wote ni Wazalendo wa nchi hii na si kama nyie wachagga ambao mnawaza fedha tuKumbe ndiyo maana una akili kama za Cpt Komba!
Mbona unazungumza bila kufikiri jamani hv hata Kama ni ushabiki kweli nchi hii itafika?Bora mie ninayewatetea mafisadi kuliko wewe unawatetea wapora wake za watu, wazinzi na mawakala wa shetani
Wewe unawatetea hawa walioshindwa kimaisha? Wakimbie basi na hili bunge. Hakuna wa kuwabembelezaNdugu yangu Tanzania yetu sote,siyo ya CCM tu hata sisi wapinzani tunahaki ya kutetea kile tunachokiamini.Mkubali tushindane kwa hoja na si kwa matusi mnayofanya na Spika anakubali vitu kama hivyo.
Kipindi hiki tunahitaji bunge lenye nidhamu,tunawalipa kodi zetu,na kodi hizi hazichagui zimlipe nani mbunge wa CCM au wa Upinzani.
Unamlalamikia nani?Mbona unazungumza bila kufikiri jamani hv hata Kama ni ushabiki kweli nchi hii itafika?
Naishi Mtaa wa Kibulang'oma, Kata ya Lizaboni, Wilaya na Manispaa ya Songea Mjini, Mkoa wa Ruvuma, nchi ya Tanzania