Nchi itaingia kwenye machafuko!
Mbowe mekuwa kichaa kama Lissu. Nacho hii ingia kwenye machafuko kwake ni sherehe ili ajiamishe na familia yake Dubai, maskini waathirike na vita.
tumia akili sio unaropoka tu,umepata kusikia kauli ya Lukuvi na Komba?
hivi ili bunge la katiba, la uchaguzi au la bajeti, mbona mh. mboye ajazungumzia kabisa kuhusu BAJETI, NAMSIKIA AKIZUNGUMZIA DAFTARI LA WAPIGA KURA NA KATIBA TUU,, AU NI UELEWA WA BAJET HANA COZ BAJET NDIO MAISHA YETU HUKU MTAANI,
Ccm hakuna wa kujibu hoja,Ila tunGojee Matusi ya nguoni Toka kamati ya vigelegele ya ccm
Freeman Mbowe:"Kama tukienda kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 bila Katiba mpya tutaliingiza taifa katika mgogoro na machafuko"
hivi ili bunge la katiba, la uchaguzi au la bajeti, mbona mh. mboye ajazungumzia kabisa kuhusu BAJETI, NAMSIKIA AKIZUNGUMZIA DAFTARI LA WAPIGA KURA NA KATIBA TUU,, AU NI UELEWA WA BAJET HANA COZ BAJET NDIO MAISHA YETU HUKU MTAANI,
mbowe saa nyingine huwaga simuelewi kabisa
Mie sihitaji uwaziri Kivuli. Nahitaji kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Vijana tuwe tunawaza maili nyingi mbele ili nchi iende..hata oongee bajneti kiasi gani kama kuna mambo hayajakaa sawa kisiasa, kijamii inakua shida sana...kwa hiyo mbowe anachofanya ni kuwaambia wenye serekali kuweka basement kwanza alafu ndo unajadili maendeleo..Budget inaendana na sera sasa yeye yuko kwenye sera kwanza na ubovu wake.
Sent from my iPad using JamiiForums