Mbowe anaunguruma bungeni muda huu!

Mbowe anaunguruma bungeni muda huu!

Namsikiliza hana hoja na maneno tuu ivi hajui kuwa tumechoka na maneno ya kutisha tisha hakuna watoto hapa,
Mara watasusia uchaguzi hawa jamaa wanaakili ya uchaguzi tuu yaani madaraka ndio ajenda vichwani mwao na hawana jipya watakalolifanya fursa kama ndio hizi basi tumechemka

Mbowe hana jipya kabisaa na ndio kukaribisha malumbano maana anaowaataki hawawezi kukaa kimya watajibu kwann asiende kwenye hoja kama za msingi ni uchaguzi madaraka

hoja ni bajeti ya ofisi ya waziri mkuu.hayo anayoyaongea Mbowe yote yapo chini ya wizara hyo..Sasa kusema hujaona hoja sio kweli.wewe ndo huelewi kabisa mambo
 
mpk Mimi sijaelewa mambo ya katiba yamefikaje hapo juu ya kinachojadiliwa??

Budget inaendana na sera sasa yeye yuko kwenye sera kwanza na ubovu wake.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mbowe badala ya kuwasilisha maoni yake ya Kambi ya Upinzani, kalalamika weeeee mpaka mwisho
 
Namsikiliza hana hoja na maneno tuu ivi hajui kuwa tumechoka na maneno ya kutisha tisha hakuna watoto hapa,
Mara watasusia uchaguzi hawa jamaa wanaakili ya uchaguzi tuu yaani madaraka ndio ajenda vichwani mwao na hawana jipya watakalolifanya fursa kama ndio hizi basi tumechemka

Mbowe hana jipya kabisaa na ndio kukaribisha malumbano maana anaowaataki hawawezi kukaa kimya watajibu kwann asiende kwenye hoja kama za msingi ni uchaguzi madaraka
sasa ndo bunge litanoga maana ameshauchokonoa mzinga wa nyuki kwa kijiti.

Kuanzia kesho bunge litaanza kuvuta hisia za watu.
 
Huyu Silinde naye anafaa kweli kuwa waziri kivuli?
 
Amka usingizini mkuu hapa kinachodaliwa ni bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa hiyo inahusu vile vile chaguzi za hizi za tawala za mikoa kwa hiyo daftrai la wapiga kura ni moja ya kazi za Ofisi ya Waziri mkuu kwa hiyo limo kwenye bajeti hii. Kwa hiyo kuliongelea hajatoka nje ya mada

hivi ili bunge la katiba, la uchaguzi au la bajeti, mbona mh. mboye ajazungumzia kabisa kuhusu BAJETI, NAMSIKIA AKIZUNGUMZIA DAFTARI LA WAPIGA KURA NA KATIBA TUU,, AU NI UELEWA WA BAJET HANA COZ BAJET NDIO MAISHA YETU HUKU MTAANI,
 
tuache ushabiki saaana, ametumia muda mwingi kuelezea mchakayo wa katiba TOFAUTI na hoja iliyoko mezani
Wakisemea nje kwanini mmetoka.Hapo ndipo penyewe,serikali yote ipo hapo.Na mwenye akili atajua analosema Mbowe ni sahihi.Leo ni CDM kesho CCM mtayakumbuka ya Mbowe.Tafakari vyema!
 
Huyu Silinde naye anafaa kweli kuwa waziri kivuli?

ukistaajabu ya uwaziri kivuli utayaona akiwa waziri kamili ngoja ashushe nondo ili tuelewane 2015 hatulali
 
Mm naona anaenda nje ya
hoja za msingi na hii ndio tatizo la mbowe masuala ya bunge la katiba ni
kule kule c huku hapa tunataka alete nondo za maana,ninacho kiona hapa
malumbano matupu tuu

Hoja ya msingi iliyopo bungeni kwa sasa ni ipi gamba wewe? Hujui kuwa Mbowe ni KUB kwamaana hiyo anauwezo wa kuongea chochote ilimradi ni taarifa rasmi.

BACK TANGANYIKA
 
naona anandeleza ulaghai tu, hamna chochote anachosema zaidi ya kuvumisha neno ccm. kila baada ya maneno kumi kuna neno ccm, ccm ccm.


kABABU NI AMA AINA YA CHAKULA AU MTU MZEE WA KIUME. SASA SIELEWI WE NI YUPI KATI YA HIVI VIWILI. WEWE ULITAKA CCM NGAPI KATIKA SENTENSI NGAPI ZA HUYU MHESHIMIWA? MWENZAKO KAJA NA TAARIFA ILI SISI AMBAO HATUJAZISIKIA TUPATE KUJUA NI KITU GANI KINAENDELEA. AMA KWELI WE NI KABABU
 
amka usingizini mkuu hapa kinachodaliwa ni bajeti ya ofisi ya waziri mkuu kwa hiyo inahusu vile vile chaguzi za hizi za tawala za mikoa kwa hiyo daftrai la wapiga kura ni moja ya kazi za ofisi ya waziri mkuu kwa hiyo limo kwenye bajeti hii. Kwa hiyo kuliongelea hajatoka nje ya mada

huyo mwananchi kachemka na wala hajui taratibu za nchi hii zinakwendaje. Serikali za mitaa ziko chini ya owm sasa yeye hata hilo halijui? Ama kweli asiyelijua neno haambiwi neno
 
mpk Mimi sijaelewa mambo ya katiba yamefikaje hapo juu ya kinachojadiliwa??
budget ya offisi ya waziri mkuu inahusisha udget ya uandaaji wa katiba. KATIBA! mwana siasa makini akifikishwa hapo anatake advantage na kusema yote! We hujiulizi kwa nini spika amwachie tu aendelee kama anatoka nje ya hoja?
 
Hizi chuki za Mbowe na CHADEMA kwa wakazi wa Mbagala ni hatari sana. Eti anasema kuwa Mbagala ambayo ni kata inapendekezwa kuwa Wilaya. Kwani Hai ambayo wilaya yake inalingana na Mbagala?

Afadhali chuki kwa kata ya mbagala kuliko chuki ya Taifa la Tanganyika.
 
ukistaajabu ya uwaziri kivuli utayaona akiwa waziri kamili ngoja ashushe nondo ili tuelewane 2015 hatulali
Huyu naye awe Waziri Kamili! Kwanza huyu Silinde yumo kwenye list ya Mawaziri kivuli watakaotemwa
 
Back
Top Bottom