Kwani kuna Taifa la Tanganyika? Mnalo nyie na kibaraka wenu WariobaAfadhali chuki kwa kata ya mbagala kuliko chuki ya Taifa la Tanganyika.
Nadhani una matatizo ya kurekodi. Anayeongea sasa ni Silinde na si MboweFreeman Mbowe:Waziri Muhongo alipaswa ama kujiuzulu au kufukuzwa kazi kwa kauli za kuwabeza wawekezaji wa ndani"
Hakika Mkuu. Yaani wanalalamika weeeee halafu wqnaishia kukaaKumbe malalamiko siyo maoni, nimejua leo!
Huyu Silinde naye anafaa kweli kuwa waziri kivuli?
huyo mwananchi kachemka na wala hajui taratibu za nchi hii zinakwendaje. Serikali za mitaa ziko chini ya owm sasa yeye hata hilo halijui? Ama kweli asiyelijua neno haambiwi neno
Kwani kuna Taifa la Tanganyika? Mnalo nyie na kibaraka wenu Warioba
Bora mie ninayewatetea mafisadi kuliko wewe unawatetea wapora wake za watu, wazinzi na mawakala wa shetaniwewe utaendelea kukesha humu Jf kama popo kuwatete mafisadi kwa ujira mdogo lakin Silinde ni Mbunge na anawakilisha wananch zaidi ya milion moja" ww hata kuwakilisha familia yako huwezi.
kwani kuna wilaya ya mbagala?Kwani kuna Taifa la Tanganyika? Mnalo nyie na kibaraka wenu Warioba
Siihitaji kwa vile sijawahi kuionamkataa kwao mtumwa we huitaki tanganyika kwa minajili ipi ?
Wakazi wa Mbagala wanahitaji kuwa wilaya kama UKAWA wanavyoihitaji Tanganyika. Mbowe kawakejeli. Haoni kuwa anajikejeli na yeye mwenyewe?kwani kuna wilaya ya mbagala?
Siihitaji kwa vile sijawahi kuiona
Kwani kuna Taifa la Tanganyika? Mnalo nyie na kibaraka wenu Warioba
Bora mie ninayewatetea mafisadi kuliko wewe unawatetea wapora wake za watu, wazinzi na mawakala wa shetani
mkataa kwao mtumwa we huitaki tanganyika kwa minajili ipi ?
Bora mie ninayewatetea mafisadi kuliko wewe unawatetea wapora wake za watu, wazinzi na mawakala wa shetani