Mwigulu-N.Waziri wa fedha.
Deni la taifa lisipoongezeka zaidi ya 90% nimlale alienizaa
Humu ndani watu mna vituko!!
Mwigulu-N.Waziri wa fedha.
Deni la taifa lisipoongezeka zaidi ya 90% nimlale alienizaa
wel said mkuu, unanikumbusha bunge la katiba. Ukawa walipoamua kususia bunge basi watu waliacha kulifuatilia na sasa watu wanataka Ukawa warudi ili waweze kulifuatilia tena.
Yani hii serikali ni kama redio ya betri kumi inavyopiga kelele na ghafla hunyamaza kimya pale unapochomoa betiri moja. Na upinzani ndo hiyo betri iliyotolewa.
ha ha ccm wameenda wapi leo
naona anandeleza ulaghai tu, hamna chochote anachosema zaidi ya kuvumisha neno ccm. kila baada ya maneno kumi kuna neno ccm, ccm ccm.
kama kuna sheria ya nchi ameikiuka, mpeleke mahakamani! Habari ndio hiyo! Mtete au msitete, ujumbe umefika!mkuu embu niambie nini ameongea hapo cha maana, sana anajitetea kutoka kwao nje, anasema daftari la wapiga kura liboreshwe kama rasimu ilivyoelekeza chakushanga ambikiikimbia rasimu sasa hayo mapendekezo nani atayatetea tena????
Ha ha haa mkuu jitahidi tu kuyavumilia mambulumundu ya aina hiyo iko siku yatakua binadamu
Naishi Mtaa wa Kibulang'oma, Kata ya Lizaboni, Wilaya na Manispaa ya Songea Mjini, Mkoa wa Ruvuma, nchi ya Tanzania
Kwa mipasho yako ya kukesha JF ndio uwe Rais? kweli kikwete kaufanya urais ukawa urahisiMie sihitaji uwaziri Kivuli. Nahitaji kuwa Waziri Mkuu au Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
naona anandeleza ulaghai tu, hamna chochote anachosema zaidi ya kuvumisha neno ccm. kila baada ya maneno kumi kuna neno ccm, ccm ccm.
Haaa! haa! mkuu bhana!!
ngoja nimeheshimu ushauri wako.
Kwa shule zenu za kata kamwe hutakaa uelewe kazungumzia nini
kwani nani katuingiza sisi watanzania kwenye haya matatizo tuliyonayo leo? au wewe ulitaka atajwe nani?
Yani hawataki Tumlaani Shetani?
tuache ushabiki saaana, ametumia muda mwingi kuelezea mchakayo wa katiba TOFAUTI na hoja iliyoko mezani