Mbowe amtambulisha Dkt. Slaa

Mbowe amtambulisha Dkt. Slaa

He was the best, mambo yakapoa kuanzia pale, katibu aliefuata akaunga juhudi, vizuri yuko Mnyika sasa.
Mwendazake pamoja na juhudi zake zote ,alishindwa kumsajili Mnyika.

Mnyika pamoja na kutokuwa na elimu kubwa sana ya kimfumo, ni moja ya watu wenye elimu kubwa sana ya kimtaa, werevu, busara, akili na unyenyekevu.

Moja ya watu ambao wanatakiwa watumike "fully" kulisaidia taifa ni pamoja na Mnyika, Mbowe, Lissu, Heche, Wenje, Kibatala na Kigaila.
 
Punguza fikra za kitumwa mkuu,hata wewe unauwezo wakupima unacho ambiwa, kuwa mmarekani akisema kilakitu ndio ukweli it's sort of stupid mind.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Tuanzie pale mnapopewa chanjo za watoto wenu na Marekani.
Vyandarua na Marekani.
ARV na Marekani.
Matundu ya vyoo na Marekani.
USAid kila mahala.
Madarasa ya Marekani.
Zahanati za Marekani.
Barabara za Marekani.

Niendelee ama!!??

Huo sio utumwa!!??

CCM imekuwa ikitutumikisha kwa miongo kadhaa huku wakitudanganya kwa vitu wapewavyo na wakoloni huko.

Umewahi kupima ukoloni na utumwa unaofanywa na CCM!!??
 
Habari JF, life it's too short guys.

Nimesikia Mbowe kwenye mkutano wake bila shaka ni Jijini Mwanza.

Mbowe anawaambia wanachama, kwamba Chadema haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Then anasema naomba nimtambulishe rafiki yangu Doctor Slaa, karibu sana.

Doctor Slaa anakwenda mbele wanapeana mikono Mbowe anawaambia wanachama wasimuilize Doctor Slaa yuko wapi.

(Msiniulize doctor Slaa yupo wapi, simnamuona hapa chadema?.

Halafu anamtambulisha na Mwabukusi wanasimama pamoja wote na Doctor slaa then Mwenyekiti anawaambia karibuni sana tufanye kazi.

Mbowe yupo vizuri upstair, he knows how to play the game, so far Doctor Slaa na Mwabukusi watakisaidia chama kuonyesha dira na malengo.

Tundu anatuchalewesha sana, anapenda misifa na kulialia24/7.
Ama kweli kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu!. Nimekumbuka Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM!

na CHADEMA ni hadithi ya mgeni njoo mwenyeji apone au akome?! Majirani mnakasirika nini?!

Waliosusa waanza kurejea kiaina Chadema, wapokelewa kiaina!.
Niliwahi kuuliza Swali Kuhusu Kulamba Matapishi: Kwanini Iwe ni Kinyaa Wakati Matapishi ni Chakula Kile Kile?!.

Pia niliwahi kuuliza Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Welcome home Daktari, East, West Home is Best.
P
 
Hujajibu swali unauliza swali. Nimekuuliza kuwa "USA hawana ugomvi na Makonda lkn ndiyo waliosema kuwa ni mtoa roho za watu". Je, kwann tusiamini tamko lao?
Huna haja ya kuamini matamko feki, weka hilo tamko hapa tulipime kama linafaa kuaminika.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mboe ndio nguzo ya Chadema, kama unakipenda chama chako muombee Mbowe aendelee kuwa kiongozi mkuu.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hizo ni fikra za kijinga kwa chama Cha siasa
Miaka 30 chama kimeshindwa kuandaa viongozi wenye uwezo
Wakipewa nchi wataongozaje
Kwa hiyo Mbowe akifa na chadema inakufa ?
Watu wenye fikra za kipambuvu Kama hizi mnatia hasira sana
Tunatamani tuwe na chama Cha upinzani chenye Mifumo imara sio kumtegemea MTU mmoja ,
 
Mlikuwa wapi Wakuu Dr. Slaa Alishavuliwa hadhi ya ubalozi siku nyingi sana na Rais Samia nadhani kama si mwaka Jana mwanzoni basi mwaka juzi mwishoni.
Haiondoi hadhi kwamba kahudumia hiyo nafasi mpk alipomaliza mda wake
 
Habari JF, life it's too short guys.

Nimesikia Mbowe kwenye mkutano wake bila shaka ni Jijini Mwanza.

Mbowe anawaambia wanachama, kwamba Chadema haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Then anasema naomba nimtambulishe rafiki yangu Doctor Slaa, karibu sana.

Doctor Slaa anakwenda mbele wanapeana mikono Mbowe anawaambia wanachama wasimuilize Doctor Slaa yuko wapi.

(Msiniulize doctor Slaa yupo wapi, simnamuona hapa chadema?.

Halafu anamtambulisha na Mwabukusi wanasimama pamoja wote na Doctor slaa then Mwenyekiti anawaambia karibuni sana tufanye kazi.

Mbowe yupo vizuri upstair, he knows how to play the game, so far Doctor Slaa na Mwabukusi watakisaidia chama kuonyesha dira na malengo.

Tundu anatuchalewesha sana, anapenda misifa na kulialia24/7.
Bora wa kulia lia kuliko msaliti.

Lakini kulia lia kwa Lissu ni sahihi kweli?

Mtu aliyepigwa risasi 39 hakukata tamaa na bado anaandamana kwa ajili ya shida zako!

Wewe ni kafiri na chawa wa msaliti Slaa
 
Huyo mzee hivi bado yupogo doh!
Mzee yupo ila kachoka sana yamebaki maneno tu,mara ya mwisho tulikutana mahali safarini tukasalimiana alikua katoka kwenye majukumu nchi nyingine.
Ndo tukakutana ghafla tu.nikawa nawaza tu kwamba mzee amalize muda apumzike.
No ndo kwaanza alipomaliza kaanza tena.
Pensheni yake kwa cheo alichoacha angekula mpk kifo.
Sasa hatujui walikorofishana nini huko mpk kunyanganywa hadhi yake.
Ambapo unanyanganywa maslahi pia.
Sasa ndio tuwaachie wao na game lao.
Mzee angerudi kinyonge hakosi kazi ukurugenzi,makamu mwenyekiti kamati ya blah blah analipwa.
 
Back
Top Bottom