Mbowe amtambulisha Dkt. Slaa

Mbowe amtambulisha Dkt. Slaa

Ok. Yote ni heri.

Mbona ninyi ccm mmekabidhi kazi ya kueneza chama kwa muuaji, mtekaji, mporaji na mpiga risasi?

Pamoja na kwamba serikali ya Marekani imemtangaza Makonda kuwa ni mtoa roho za watu lkn bado mmefumba macho.
Sasa huoni kuwa ni faida kwenu kwa CCM kuweka mwenezi mwenye sifa mbaya? Au pia nyie CHADEMA huwa mnakubali bila CCM imara nchi itayumba?
 
Habari JF, life it's too short guys.
Nimesikia Mh. Mbowe kwenye mkutano wake bila shaka ni Jijini Mwanza.

Mh. Mbowe anawaambia wanachama, kwamba Chadema haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Then anasema naomba nimtambulishe rafiki yangu Doctor Slaa, karibu sana.

Doctor Slaaa anakwenda mbele wanapeana mikono Mh. Mbowe anawaambia wanachama wasimuilize Doctor Slaa yuko wapi.

(Msiniulize doctor Slaa yupowapi, simnamuona hapa chadema?.

Alafu anamtambulisha na Mwabukusi wanasimama pamoja wote na Doctor slaa then Mwenyekiti anawaambia karibuni sana tufanye kazi.

Mboe yupo vizuri upstair, he knows how to play the game, so far Doctor Slaa na Mwabukusi watakisaidia chama kuonyesha dira na malengo.

Tundu anatuchalewesha sana, anapenda misifa na kulialia24/7.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hao wawili walisema watashiriki maandamano ya Mwanza na walikwenda kushiriki, hata wewe na mama walikaribishwa kwani yaliwahusu wananchi wote bila kujali itikadi.
 
Tundu anatuchalewesha sana, anapenda misifa na kulialia24/7.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ndiyo unavyojidanganya? Au kwa akili zako unadhani hapo tayari kuna mgohoro?
Umadhani ni kama CCM ambayo imemkabidhi Chama Makonda ili ajinyonge mwenyewe bila kufikiri namna na Chenyewe kitavyoathirika? Kinachodhani ni kwamba kitapata mvuto ma kubadili upepo kwa kumtoa Makonda kwenye mafasi yake. Mnatengeneza matatizo kwa kujitakia halafu mtegemee kusifiwa siku mkilitatua.
Badala ya kuhangaika kutatua hayo matatizo mnayoyatengeneza wenyewe si ni bora mngetumia muda na nguvi jizo kutatua matatizo halisi ya wanancho?
 
Habari JF, life it's too short guys.
Nimesikia Mh. Mbowe kwenye mkutano wake bila shaka ni Jijini Mwanza.

Mh. Mbowe anawaambia wanachama, kwamba Chadema haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Then anasema naomba nimtambulishe rafiki yangu Doctor Slaa, karibu sana.

Doctor Slaaa anakwenda mbele wanapeana mikono Mh. Mbowe anawaambia wanachama wasimuilize Doctor Slaa yuko wapi.

(Msiniulize doctor Slaa yupowapi, simnamuona hapa chadema?.

Alafu anamtambulisha na Mwabukusi wanasimama pamoja wote na Doctor slaa then Mwenyekiti anawaambia karibuni sana tufanye kazi.

Mboe yupo vizuri upstair, he knows how to play the game, so far Doctor Slaa na Mwabukusi watakisaidia chama kuonyesha dira na malengo.

Tundu anatuchalewesha sana, anapenda misifa na kulialia24/7.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Na wale 19 wanaweza warudi hakuna rafiki au adui wa kudumu.
 
Hao wawili walisema watashiriki maandamano ya Mwanza na walikwenda kushiriki, hata wewe na mama walikaribishwa kwani yaliwahusu wananchi wote bila kujali itikadi.
Nisawa lakini hao wawili walifanyiwa utambulisho maalum na kuambiwa karibuni tufanye kazi.
Maneno kama hayo kuambiwa mtu kama Doctor Slaa na Mwabukusi kwa namna zao sio kutu cha kupuuza.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom