Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,231
- 183,104
Mzee yupo ila kachoka sana yamebaki maneno tu,mara ya mwisho tulikutana mahali safarini tukasalimiana alikua katoka kwenye majukumu nchi nyingine.
Ndo tukakutana ghafla tu.nikawa nawaza tu kwamba mzee amalize muda apumzike.
No ndo kwaanza alipomaliza kaanza tena.
Pensheni yake kwa cheo alichoacha angekula mpk kifo.
Sasa hatujui walikorofishana nini huko mpk kunyanganywa hadhi yake.
Ambapo unanyanganywa maslahi pia.
Sasa ndio tuwaachie wao na game lao.
Mzee angerudi kinyonge hakosi kazi ukurugenzi,makamu mwenyekiti kamati ya blah blah analipwa.
Duhh kweli siasa mchezo mchafu.. halafu sia alipararaizi mikono mmoja hivi alishapinaga??? Dahhh siasa sio poaaa
Cc @Smart912