Mbowe amtambulisha Dkt. Slaa

Mbowe amtambulisha Dkt. Slaa

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16] unamhadaa nani?
Sina sababu ya kumhadaa mtu yoyote, Mimi na ccm nikama tulivyo mimi na wewe tusivyo juana humu.

Mimi ni muumini na mfuasi wa Jembe Magu ambae naamini angekuwepo mpaka sasaivi nisingekuwa nasota kwenye foleni hapa vigwaza saivi.

Naamini angekuwepo tungekuwa na njia nne dar, chalinze.
Na umeme usingekuwa kichefchef kama hivi.

You know what I'm try to say.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Punguza fikra za kitumwa mkuu,hata wewe unauwezo wakupima unacho ambiwa, kuwa mmarekani akisema kilakitu ndio ukweli it's sort of stupid mind.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kwa viwango vyote vya upimaji makonda ni mhalifu. Labda kama mtu ana mtindio wa ubongo ndiyo anaweza kushindwa kuona uovu wa Makonda.
 
Habari JF, life it's too short guys.

Nimesikia Mbowe kwenye mkutano wake bila shaka ni Jijini Mwanza.

Mbowe anawaambia wanachama, kwamba Chadema haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Then anasema naomba nimtambulishe rafiki yangu Doctor Slaa, karibu sana.

Doctor Slaa anakwenda mbele wanapeana mikono Mbowe anawaambia wanachama wasimuilize Doctor Slaa yuko wapi.

(Msiniulize doctor Slaa yupo wapi, simnamuona hapa chadema?.

Halafu anamtambulisha na Mwabukusi wanasimama pamoja wote na Doctor slaa then Mwenyekiti anawaambia karibuni sana tufanye kazi.

Mbowe yupo vizuri upstair, he knows how to play the game, so far Doctor Slaa na Mwabukusi watakisaidia chama kuonyesha dira na malengo.

Tundu anatuchalewesha sana, anapenda misifa na kulialia24/7.
Wewe ni taploo [emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom