Labda aje kuwa mwanachama wa kawaida vinginevyo narudisha kadi.atasafishwaje huyu fisadi?hapo Zitto atawapigia bao.
Anamkaribisha chadema kwani amejitoa ccm?Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Aikael Mbowe amemkaribisha rasmi Edward Lowassa kwenye chama hicho.
Amesema CHADEMA ni chama cha watanzania wote, ameongeza kusema kuwa mgombea yeyote atakayewakilisha UKAWA ndiye atakayekuwa rais.
Chanzo: Habari Magazetini.
Kama ikibidi kumtumia Lowasa ili kuondoa mfumo uliopo na atumike tu! Ni heri kumtumikia fisadi mmoja kwa miaka 5 kuliko kuwatumikia mafidi wengi life tym.
Afanyeje sasa wakati bil.10 zimewekwa mbele yake? Na Slaa haziivi, Mtei amwambia SLAA kama vipi asepe awaachie Chadema yao, kilimanjaro yao na Lowassa wao.
safari yamatumaini ipo ukawa pekee karibu mpambanaji
Hahahaha et chadema sasaiv wanaomba ushahid ku prov ufisadi wa lowasa, et leta ushahid kwamba lowasa nifisad mbona PCCB awamkamat, naamini lowasa angepitishwa na ccm chadema mwanzo mwisho wa kampen wangehubiri ufisad wa lowasa, SHKAMOO SIASA:banghead:
Mbowe anataka kukizika rasimi chadema.
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.
Source: Tanzania Daima, Mwananchi
Nahama rasmi
Kama ikibidi kumtumia Lowasa ili kuondoa mfumo uliopo na atumike tu! Ni heri kumtumikia fisadi mmoja kwa miaka 5 kuliko kuwatumikia mafidi wengi life tym.
Kweli siasa mchezo mchafu leo amekuwa msafi.Watakoma mwaka huu hawa macc