Ubaguzi huu utaisha lini? Lowassa ni nyani?
Alikuwa wapi?
Je kahama kwa sababu zipi?
Je anauzalendo na chama au ana malengo yake. Asipo pata anacho kitafuta hata hama tena hayo ni mambo ya kutafakali( ukifungua mlango/dirisha si hewa safi tu itakayo ingia hata vumbi litaingia).