Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,822
- 3,832
Nape lazima afanye sherehe kwani mission yake ni kuimaliza ccm na sasa itakuwa " The mission has accomplished"
Nape ni mtu wa visasi sana, kipindi kile ccm walipomzingua akaenda kuanzisha CCJ akiwa na kina6 na bila kujua ccm wakamrudisha wakizani wameyamaliza kumbe wamerudisha nyoka mwenye sumu kali ndani na sasa keshawauma.
Nape ni mtu wa visasi sana, kipindi kile ccm walipomzingua akaenda kuanzisha CCJ akiwa na kina6 na bila kujua ccm wakamrudisha wakizani wameyamaliza kumbe wamerudisha nyoka mwenye sumu kali ndani na sasa keshawauma.