Mbona majambazi yamepotea?

Mbona majambazi yamepotea?

Magufuli mojawapo ya hotuba za mwanzo mwanzo aliwataka Polisi watumie "mbinu za MM" ili majambazi wakomeshwe na akasema askari atakayefanya hivyo apongezwe na sometimes apandishwe cheo. Asisumbuliwe na mahakamani sijui kujieleza.
Baada ya hapo majambazi yalikuwa yakikamatwa unasikia:
"Wakati mtuhumiwa anaelekea kulionyesha jeshi la Polisi alikoficha silaha, akajaribu kutoroka. Ndipo askari wetu alivyofyatua risasi kama tahadhari ili asimame, hata hivyo mtuhumiwa hakutii amri na ndipo ilimlazimu askari wetu kumfyatulia risasi ya mguu. Mtuhumiwa alifariki akikimbizwa hospitali."

Kauli nyingine maarufu ya kutoa ripoti ya tukio la kuuwawa jambazi:
"Mtuhumiwa huyo alijaribu kurusha risasi kwa askari wetu badala ya kujisalimisha kama alivyoamrishwa. Katika jitihada za kujihami, askari wetu shupavu alifanikiwa kumlenga mtuhumiwa na kumpiga risasi ya bega/mguu/mkono. Mtuhumiwa alipoteza damu nyingi na kupelekea kupoteza maisha wakati anawahishwa hospitali".

Pia Omary Mahita alikuwa anafuga vibaka kwenye uongozi wake. Baada yake kizazi kilichofuata hakikuwa serious sana sababu za kisiasa, Magufuli alivyokuja ndio akaondoa bureaucracy kwenye siasa. Hakuna nchi ambayo ujambazi unamalizwa na mahakama, mfano El Salvador.
 
Yapo tu sema, Siku hizi yanavaa sare na kusimama kwenye janksheni mbali mbali na vituo vya mabasi mengine huwa yanatumia maviete na kujifanya yana uchungu na taifa🐼
 
Zamani nikiwa nakua nilikua siishi kusikia matukio ya ujambazi na uporaji..na watu kuuawa na mali zao kuibiwa..lakini miaka zaidi ya 10 au zaidi sasa sijasikia tukio la watu kufanya uporaji wa kutumia silaha au unyanganyi wa kwenye majumba ya watu?

Maana zamani ingawa social media zilikua chache ilz habari zilitapakaa kwa redio.magazeti na simu.

Ni miaka mingi sijasikia matukio.ya hivyo.?
Je ni experience niliyonayo mimi tu kutokana na mazingira niliyopo au mkoa ninaoishi?? na watu wengine huko kwenu vipi bado matujkio yapo?

Nb majambazi wengine nawajua kabisq ila matukio ndo hayatokei?? Hii imekaaje?? Au wameokoka??
HIvi na wale wanaojisalimishaga na silaha hua inakuaje hadi kusalimisha kitega uchumi cha kuchukua mshiko nje nje AKA mshiko fasta??
Tupo teckolojia imeongezeka tunatapeli kwa njia ya mtandao.
Silaha ni mzigo tuu siku hizi
 
Zamani nikiwa nakua nilikua siishi kusikia matukio ya ujambazi na uporaji..na watu kuuawa na mali zao kuibiwa..lakini miaka zaidi ya 10 au zaidi sasa sijasikia tukio la watu kufanya uporaji wa kutumia silaha au unyanganyi wa kwenye majumba ya watu?

Maana zamani ingawa social media zilikua chache ilz habari zilitapakaa kwa redio.magazeti na simu.

Ni miaka mingi sijasikia matukio.ya hivyo.?
Je ni experience niliyonayo mimi tu kutokana na mazingira niliyopo au mkoa ninaoishi?? na watu wengine huko kwenu vipi bado matujkio yapo?

Nb majambazi wengine nawajua kabisq ila matukio ndo hayatokei?? Hii imekaaje?? Au wameokoka??
HIvi na wale wanaojisalimishaga na silaha hua inakuaje hadi kusalimisha kitega uchumi cha kuchukua mshiko nje nje AKA mshiko fasta??
Wamepotea wapi ? Mbona wapo wanatumikia IKULU.
 
Kipindi hicho hata kutembea na milioni 1 unaogopa unaweza kufumuliwa UBONGO wahuni wakaondoka na MZIGO ,alipoingia JIWE akaona kuna baadhi ya askari walikuwa wanashirikiana na majambawazi ,ikabidi awaambie wakomeshe ujambazi ,kwa majambazi waliogoma kuacha kwa kudhani bizness as usual walikula VYUMA na wengine wamekimbia nchi.

Kwasasa ujambazi wa kutumia silaha haupo coz 100% ilikuwa mipango ya maaskari na ndiyo maana walikuwa hawkamatwi ila kwasasa ukifanya ujambazi hautembei hata mita 100 lazima udakwe.
Acha uongo wewe mbuzi wa shamba.
 
Licha sababu nyingine lakini pia majambazi wengi Sana wameuliwa, yaani zile mambo za kupelekana polisi kuna Kipindi ziliisha, ilikuwa ukikamatwa hakuna msalie mtume ni mwendo wa "Bwana alitoa, Bwana ametwaa....jina la bwana lihimidiwe, ameen"
 
Acha uongo wewe mbuzi wa shamba.
Nyinyi wa mliokulia MPWITIMBI hamuwezi elewa mambo ya TOWN.

Papaa Musofe aliua mtu akalindwa na maaskari lakini mke wa marehemu akapanda ngazi hadi kwa PINDA ,pinda ndiyo akatoa Order Papaa Musofe akamatwe before hapo alikuwa huru.


Fuatilia historia ya MAHITA former IGP jinsi alivyokuwa anapiga pesa za majambazi.
 
Vijana wa siku hizi wanakula chipsi yai
Wamekuwa nyoronyoro sana hawawezi hio kazi
Ndio maana sasa kumeongozeka watu wanaombaomba hela kushinda miaka yoyote tangu kuanzishwa kwa hii nchi
 
Kuna utapeli ambao ni mara 3 ya ujambazi !
💯 na utapeli mwingi unahusisha wafanyakazi wa serikalini — mambo ya kukuta kiwanja kimoja kina hati mbili au tatu na zote zimetolewa na wizara ya ardhi au mabenki yanauza mali za watu kupitia kuhonga mahakama — kuna mabenki hayataki kabisa ulipe deni lako kwasababu wameshapata mnunuzi wa mali yako.

Nilikuwa naongea na mtu ambaye sio mtanzania kuhusu mambo yanayofanyika hapa na akaniambia ni maajabu nchi yako haina vita. Mungu aepushe janga hilo lakini ni kweli tuna vituko vingi.
 
Back
Top Bottom