Mbona majambazi yamepotea?

Mbona majambazi yamepotea?

Kwa Nchi yetu vitu vifuatavyo vimechangia.
1.Technolojia kwasasa imekua sana mambo ya kuiba kwa bunduki yamepitwa na wakati na utapoteza maisha bure na kwa bahati mbaya majambazi wengi wa nchini kwetu hawana akili.

2.Jiwe - huyu jamaa utawala wake hakua anacheka na majambazi yaani ukikutwa unatangulizwa ahera mapema,kipindi chake majambazi walipigwa sana shaba.

3.Hali ya uchumi ni ngumu vibaya sana kiasi cha kwamba hata pesa mtaani ngumu kiasi ukijifanya unatamaa raia wanakuwasha kiberiti mapema.

NB:Ujambazi wa sasa umehamia kwenye kutekana na kupeana kesi za kisiasa ili wahuni wavune hela pamoja na ufisadi.
 
zamani watu walikua wanahifathi pesa kwenye magunia na kuchimbia chini wakija kukutembezea kichapo lazma useme ngoja niwaletee saiv watu kwenye account huwezi kumfata na panga wala bunduki sema saiv watu wanaiba kwenye account
 
Zamani nikiwa nakua nilikua siishi kusikia matukio ya ujambazi na uporaji..na watu kuuawa na mali zao kuibiwa..lakini miaka zaidi ya 10 au zaidi sasa sijasikia tukio la watu kufanya uporaji wa kutumia silaha au unyanganyi wa kwenye majumba ya watu?

Maana zamani ingawa social media zilikua chache ilz habari zilitapakaa kwa redio.magazeti na simu.

Ni miaka mingi sijasikia matukio.ya hivyo.?
Je ni experience niliyonayo mimi tu kutokana na mazingira niliyopo au mkoa ninaoishi?? na watu wengine huko kwenu vipi bado matujkio yapo?

Nb majambazi wengine nawajua kabisq ila matukio ndo hayatokei?? Hii imekaaje?? Au wameokoka??
HIvi na wale wanaojisalimishaga na silaha hua inakuaje hadi kusalimisha kitega uchumi cha kuchukua mshiko nje nje AKA mshiko fasta??
Hili ni jambo la kuipongeza jeshi la polisi operation ya kusalimisha silaha, kuwakamata na kufungwa vifungo virefu imesaidia sana.
 
Zamani nikiwa nakua nilikua siishi kusikia matukio ya ujambazi na uporaji..na watu kuuawa na mali zao kuibiwa..lakini miaka zaidi ya 10 au zaidi sasa sijasikia tukio la watu kufanya uporaji wa kutumia silaha au unyanganyi wa kwenye majumba ya watu?

Maana zamani ingawa social media zilikua chache ilz habari zilitapakaa kwa redio.magazeti na simu.

Ni miaka mingi sijasikia matukio.ya hivyo.?
Je ni experience niliyonayo mimi tu kutokana na mazingira niliyopo au mkoa ninaoishi?? na watu wengine huko kwenu vipi bado matujkio yapo?

Nb majambazi wengine nawajua kabisq ila matukio ndo hayatokei?? Hii imekaaje?? Au wameokoka??
HIvi na wale wanaojisalimishaga na silaha hua inakuaje hadi kusalimisha kitega uchumi cha kuchukua mshiko nje nje AKA mshiko fasta??
Siku hizi watu hawatembei na mahela kama zamani
 
Kipindi hicho hata kutembea na milioni 1 unaogopa unaweza kufumuliwa UBONGO wahuni wakaondoka na MZIGO ,alipoingia JIWE akaona kuna baadhi ya askari walikuwa wanashirikiana na majambawazi ,ikabidi awaambie wakomeshe ujambazi ,kwa majambazi waliogoma kuacha kwa kudhani bizness as usual walikula VYUMA na wengine wamekimbia nchi.

Kwasasa ujambazi wa kutumia silaha haupo coz 100% ilikuwa mipango ya maaskari na ndiyo maana walikuwa hawkamatwi ila kwasasa ukifanya ujambazi hautembei hata mita 100 lazima udakwe.
 
Majumbani ndiyo hausikiki tena ila matukio yapo mfano RC wa Kigoma,Simon Sirro alikaribishwa huko kwa tukio la utekaji wa mabasi usiku kwa watu wenye silaha.

Mawakala wa Mobile money bado wanakula shaba wanaporwa pesa na pia kuna matukio ya uvunjaji na uporaji wa maduka na maghala ukihusisha mauaji ya walinzi.
 
Zamani nikiwa nakua nilikua siishi kusikia matukio ya ujambazi na uporaji..na watu kuuawa na mali zao kuibiwa..lakini miaka zaidi ya 10 au zaidi sasa sijasikia tukio la watu kufanya uporaji wa kutumia silaha au unyanganyi wa kwenye majumba ya watu?

Maana zamani ingawa social media zilikua chache ilz habari zilitapakaa kwa redio.magazeti na simu.

Ni miaka mingi sijasikia matukio.ya hivyo.?
Je ni experience niliyonayo mimi tu kutokana na mazingira niliyopo au mkoa ninaoishi?? na watu wengine huko kwenu vipi bado matujkio yapo?

Nb majambazi wengine nawajua kabisq ila matukio ndo hayatokei?? Hii imekaaje?? Au wameokoka??
HIvi na wale wanaojisalimishaga na silaha hua inakuaje hadi kusalimisha kitega uchumi cha kuchukua mshiko nje nje AKA mshiko fasta??
Maendeleo ya technolojia hasa ya mawasiliano ni Rahisi Sana mhalifu kukamatwa kwa kunaswa na camera, sauti na aina zingine za ushahidi.
Usafiri umerahisishwa kutokana na kuimarishwa kwa Barabara hakuna tena watu wanalala porini kwa gari kukwama
 
Back
Top Bottom