kitotochaMama
JF-Expert Member
- Feb 1, 2026
- 235
- 436
Nielekeze tu hata Kwa fimbo ☺️☺️Utakoma😆 kitoto kidogo ww huwezi elewa😅
Nielekeze tu hata Kwa fimbo ☺️☺️Utakoma😆 kitoto kidogo ww huwezi elewa😅
Binti, takuchapa😃Nielekeze tu hata Kwa fimbo ☺️☺️
🙈🙈 We mkaka ila usinichape sanaa basiiBinti, takuchapa😃
Na mie naomba uje kunifundishaa basi jamaaa yangu mzuri ☺️☺️.. nisikilizie huu mzikiHebu kaa vizuri kwanza😎 nikimaliza ntakuelezea kwa kina wenzio tunafanya h/work huku we dada huna watoto😆View attachment 3539216
Dogo unajua umeanza kutuma miziki yako tena huachi tu😆 nyimbo nzuri nimeipenda☺️Na mie naomba uje kunifundishaa basi jamaaa yangu mzuri ☺️☺️.. nisikilizie huu mziki
View attachment 3539218
Last born, lazima nikudekee .. njoo unilishe 🙈🙈Dogo unajua umeanza kutuma miziki yako tena huachi tu😆 nyimbo nzuri nimeipenda☺️
Unakulaaa kama ze shuuuzzz🤭Last born, lazima nikudekee .. njoo unilishe 🙈🙈View attachment 3539226
😅😅😅😅😅 sawaaa tuuu jamaaaUnakulaaa kama ze shuuuzzz🤭
Mzee wa kazi.Cougar spotted.
Hiyo mipango angewaza kabla hajaenda kuleta mtoto.Kwahiyo wewe unatakaje? Kijana akiota vuzi tu na miaka 11 aoe? Na binti akiona mwezi wake wa kwanza tu achumbiwe?
Hakuna elimu, hakuna mipango, wazaliane tu wakalime na kufuga huko porini sio?