Registered_jf
JF-Expert Member
- Nov 27, 2024
- 920
- 1,454
Ni nani aliita polisi? ? Nimesikitika sana!
Kwa hali zilivyo karne hii ya 21, Nikipata habari kuwa kijana wangu wa miaka 13 ametia mimba mwanamke wa miaka 33:
Nitamuita nimuulize hizi habari ni kweli au si kweli? Swali ni rahisi sihitaji maelezo.
Akisema ni kweli, namuambia haya nenda chumbani, nakupa masaa mawili uniandikie kurasa moja tu: jinsi utamtunza huyo kiumbe uliyeleta duniani.
Hapo atakuwa amenipa muda wa kutosha kuagiza kreti la bia na kuagiza nyama choma.
(IMAGE REMOVED)
Akirudi kuniletea karatasi nitaweka sura ya kazi na kuisoma:
(IMAGE REMOVED)
Baada ya kuisoma I don't care what is on that paper mradi ni mpango nomatter how stupid it is, nitamuambia haya kula nyama hiyo mimi hata hamu ya kula imeisha! ! !
Wakati anakula nitajifanya nina mawazo naangalia huko juu. Nitakuwa nikizishukuru mbingu. Nitaabudu na kusifu!
Akimaliza namuambia haya kapaki mabegi hapa si kwako tena.
Namuita mdogo wangu namuambie aje chap, maana kila jambo ili lithibitshwe linahitaji mashahidi wawili hadi watatu.
Tutaenda kumpeleka huko:
WOMAN, THY HUSBAND.
MAN, THY WIFE.
(IMAGE REMOVED)
Tutamuacha hapo na kurudi kumalizia sherehe:
(IMAGE REMOVED)
Kwa hali zilivyo karne hii ya 21, Nikipata habari kuwa kijana wangu wa miaka 13 ametia mimba mwanamke wa miaka 33:
Nitamuita nimuulize hizi habari ni kweli au si kweli? Swali ni rahisi sihitaji maelezo.
Akisema ni kweli, namuambia haya nenda chumbani, nakupa masaa mawili uniandikie kurasa moja tu: jinsi utamtunza huyo kiumbe uliyeleta duniani.
Hapo atakuwa amenipa muda wa kutosha kuagiza kreti la bia na kuagiza nyama choma.
(IMAGE REMOVED)
Akirudi kuniletea karatasi nitaweka sura ya kazi na kuisoma:
(IMAGE REMOVED)
Baada ya kuisoma I don't care what is on that paper mradi ni mpango nomatter how stupid it is, nitamuambia haya kula nyama hiyo mimi hata hamu ya kula imeisha! ! !
Wakati anakula nitajifanya nina mawazo naangalia huko juu. Nitakuwa nikizishukuru mbingu. Nitaabudu na kusifu!
Akimaliza namuambia haya kapaki mabegi hapa si kwako tena.
Namuita mdogo wangu namuambie aje chap, maana kila jambo ili lithibitshwe linahitaji mashahidi wawili hadi watatu.
Tutaenda kumpeleka huko:
WOMAN, THY HUSBAND.
MAN, THY WIFE.
(IMAGE REMOVED)
Tutamuacha hapo na kurudi kumalizia sherehe:
(IMAGE REMOVED)