Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Baija Bolobi

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
1,093
Reaction score
1,737
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?

Wale ni wazee kwa sasa; kwa hiyo labda sababu ya haraka ni kuwa anaumwa ndio mana hajatokea, hata mwenzie pia sikumwona pia.
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Mahiga ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?
Mbona Msuguri hakuwepo? Itoshe tu kujua kuwa hawa wastaafu wengine ni wazee hivyo kuna zile changamito za kiafya zitokanazo na umri huwapata mara kwa mara. Lakini Msuguri hushirikishwa sana mambo nyeti ya kijeshi hasa yale ya kiuongozi
 
Last time nilimuona mahali akiwa anatembea kwa kuchechemea nadhan ana tatizo LA mguu/ miguu! pia umri unachangia ila mentally yuko fit!

Alifukuzwa na Mwalimu Nyerere kwenye Ukurugenzi wa Usalama wa Taifa kwa kosa la Kununua Mercedez Benz bila ya kumjulisha Mwalimu

Akaja Tena kupoteza Uwaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala bora wa Mzee Benjamin Mkapa kwa kosa la kughushi Malipo ya Matibabu ya Mkewe Nchini Marekani

Alipoongea na Media nyumban kwake Upanga alikanusha tuhuma za kughushi akamtaja PM wa wakati huo ambae kwa sasa ni Mwenyekt wa Chama Fulani kanda ya Pwani kuwa ndie anamchafua kwa kuwa wote wanautaka Urais japo mwishowe wote wakaukosa
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Maige ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Maige ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
Agustino Maige!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huenda Mpaka sasa Tanzania haijapata Mtaalam wa kudungua ( Sniper) wa kiwango cha Mahiga

Kuna Mzee Mmoja Mstaafu wa pale Makumbusho aliwahi kuniambia Mahiga alijifunzia Yugoslavia ya Kijamaa 1970s Makitu kiasi kwamba kWenye Mazoezi Yao walikuwa wanapanda Magari mawili tofauti yanayoenda kwa kasi kwa uelekeo tofauti lakin Balozi alikuwa na uwezo wa kumdungua anaemtaka ndani ya Gari tofauti!
 
Mahiga ukimuona juuu juu unaweza kumchukulia kama wanasiasa wengine ila ukifuatilia historia yake unachoka tu. Mzee katulia sana huyu.

Lile tukio la mkewe lilipotokea, alitulia tu. Wangekuwa wanasiasa wengine wa kisasa, wangeanza kutweet mipasho. Vijana tujifunze kwa hawa wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukio LA mkewe lilikuaje na nini kilitokea?
 
Back
Top Bottom