Mboga za makaburini

Mboga za makaburini

Unashangaa mtu anasema hana hela ya kula ,chakula chenyewe ni chips yai , kitu ambacho anaweza fuga kuku na kuokota mayai ya kutosha , ugali wake anagonga mayai na mchicha anachemsha kidogo anakula fasta tu
Maarifa..maarifa...

1.Nimekuta familia inafuga toka 90s
Wajukuu wakienda kwa Babu na Bibi wanakimbiza kuku kama hawana akili nzuri😀😀😀

2.Kuna sibl wangu anafuga Mifugo ya nyama kubwa kubwa...huko utachoma nyama mpaka ukimbie hasa Mbuzi(Karagwe huko)

3.Kuna moja yeye bingwa na Kanga +Turkey..kama kazaliwa nao..kwake unakimbizana nao..

So maisha ni maamuzi..tulifunzwa kutafuta viwanja pembezoni mwa mji.
Kuna maisha ukisafiri nje na kwako naona kama mateso makali sana kununua nunua vitu😀😀😀
 
Mi ni jobless mkuu😁
Hapana kaka sidhani ikiwa wewe unanijua nambie ila kama ni boss wangu najua mengi ninayozungumza watu wa kada yangu hasa upande wa pili mmshanidaka ,uniwie radhi tu mkuu wangu ni katika kurefresh tu siko hapa kumaanisha uhalisia wowote .

Unaniohopesha bwana ,mpaka usiku wa manane niwapo kazini nik8sema nikomenti kidogo hapa lazima ulike tu .

Naogopa nisije nikanyea kambi bwana ,mimi bado mdogo na pia nimeachwa sina mpenzi hivyo bado najitafuta mwenzio
 
Hapana kaka sidhani ikiwa wewe unanijua nambie ila kama ni boss wangu najua mengi ninayozungumza watu wa kada yangu hasa upande wa pili mmshanidaka ,uniwie radhi tu mkuu wangu ni katika kurefresh tu siko hapa kumaanisha uhalisia wowote .

Unaniohopesha bwana ,mpaka usiku wa manane niwapo kazini nik8sema nikomenti kidogo hapa lazima ulike tu .

Naogopa nisije nikanyea kambi bwana ,mimi bado mdogo na pia nimeachwa sina mpenzi hivyo bado najitafuta mwenzio
Kuwa na amani mkuu😄
 
Maarifa..maarifa...

1.Nimekuta familia inafuga toka 90s
Wajukuu wakienda kwa Babu na Bibi wanakimbiza kuku kama hawana akili nzuri😀😀😀

2.Kuna sibl wangu anafuga Mifugo ya nyama kubwa kubwa...huko utachoma nyama mpaka ukimbie hasa Mbuzi(Karagwe huko)

3.Kuna moja yeye bingwa na Kanga +Turkey..kama kazaliwa nao..kwake unakimbizana nao..

So maisha ni maamuzi..tulifunzwa kutafuta viwanja pembezoni mwa mji.
Kuna maisha ukisafiri nje na kwako naona kama mateso makali sana kununua nunua vitu😀😀😀
Mimi kuishi mjini hapana kabisa , mimi mambo yangu ni kushika shika udongo na mavi ya wanyama, ndio nasikia raha kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom