Nilipewa mbegu za mboga ya majani na babu fulani nikapnda kwangu kwenye fence ,sasa kila zinavyokuwa naona kabisa hii ni bangi ,nikamfuata mzee kumuuliza hizi mboga ulinipa ni mboga gani akasema ni SUNGWI mh .
Nikajipa muda walau ziongezeke ,juma lililopiita naziangalia ni bangi kabisa ikabidi nichume kidogo nianike nione je zitakuwa kama bangi kavu .?
Jana rasmi nimehitimisha ni bangi kweli baada ya kujaribu kuwasha moto hivyo niseme kuwa kilimo ni kigumu sana nyumbani bora kununua tu maana unaweza kulima nyumbani na ukajikuta umeingia mgogoro na serikali bila kujua .
Nb:siuzi na wala asinifuate yeyote sababu mimi nina uchunguzi naufanya hivyo hata serikali isije najaribu kutaka kuona kweli nitakuwa kichaa au hapana