Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 20,824
- 59,589
I don’t snitch bro, wewe Tuelewane tu!Nitakapokuuzia alafu nikapita mlango wa pili kuhitaji hela kwako ni hapo utakuja kuandika uzi hapa kuna watu ni masnitch sana chini ya jua
I don’t snitch bro, wewe Tuelewane tu!Nitakapokuuzia alafu nikapita mlango wa pili kuhitaji hela kwako ni hapo utakuja kuandika uzi hapa kuna watu ni masnitch sana chini ya jua
Mwaka jana tu😀😀😀 ata matembele mara ya mwisho kula itakuq hakumbuki !
wa magetoni huku kutoa vichwa ni uhujumu uchumi !Wakishua dagaa zinanisubiri nikatoe vichwa😕
Limeisha mwanetu ,wacha niikaushe vizuri soon nitakustua .I don’t snitch bro, wewe Tuelewane tu!
Mbegu za mboga gani? Ambazo nimeandaa kutoka shambani kwangu ni za majani ya maboga na mchicha wa kienyeji, nyingine nanunua kama za leshu na nk unazipata maduka ya pembejeo za kilimo kwa 3000 kwa pktNitumie mbegu nianze rasmi, Am inspired!
Navitoa kwaajili ya kesho!wa magetoni huku kutoa vichwa ni uhujumu uchumi !
Nishaandaa rizzler!Limeisha mwanetu ,wacha niikaushe vizuri soon nitakustua .
Dah nilidhani utani ,kweli wewe mwanetu kwetu mpaka rizzler unaijua 🙌Nishaandaa rizzler!
Unitumie demo na pesa kiasi nianze baada ya eid kubwa!Mbegu za mboga gani? Ambazo nimeandaa kutoka shambani kwangu ni za majani ya maboga na mchicha wa kienyeji, nyingine nanunua kama za leshu na nk unazipata maduka ya pembejeo za kilimo kwa 3000 kwa pkt
Am serious sana mkwee😎Dah nilidhani utani ,kweli wewe mwanetu kwetu mpaka rizzler unaijua 🙌
Kwenye mboga na nyama za kuku nimesahahu kabisa..hapo kwenye gesi Mkuu ..tuwe hai nitakutafuta muda ukifika.Safi sana mkuu, niliwapa elimu ya ufugaji na kilimo vijana wakadai ni kazi za wastaafu kwangu hata majiko ya gesi natumia mbolea ya mboji , matumizi ya umeme yanakua madogo mno
kama ni wasafi no problem, ila utatisha sana mwanamke wa nguvu+ 🤓🤣Navitoa kwaajili ya kesho!
Nitakutumia mbegu na elimu , mifuko unaweza tembelea hardware au viwanda vya kufyatua tofali unapata mifuko ya cement mitupu hata 2000 bure kabisa , mbolea unaweza watembelea wale wafugaji wa kuku , unapata kwa bei nafuu debe za kutosha.Unitumie demo na pesa kiasi nianze baada ya eid kubwa!
kabisa yani😅😀😀😀 ata matembele mara ya mwisho kula itakuq hakumbuki !
Waifu matirio kabisa💃🏽kama ni wasafi no problem, ila utatisha sana mwanamke wa nguvu+ 🤓🤣
Safi sana mkuu, mimi huwa natembelea parokia mbalimbali kujifunza kilimo na ufugaji , hii kitu naipenda mno , na ina mambo mengi ya kushangaza na kufurahisha mnoKwenye mboga na nyama za kuku nimesahahu kabisa..hapo kwenye gesi Mkuu ..tuwe hai nitakutafuta muda ukifika.
Ukiwa na mji kuishi kwa ugumu ni kupenda na kutokukubali maarifa.
Tulifuga kuku wa kwetu aisee kuku ana taste moja murua sana😀😀😀
Dahh sawa! Asante kwa elimu na maelekezo..Nitakutumia mbegu na elimu , mifuko unaweza tembelea hardware au viwanda vya kufyatua tofali unapata mifuko ya cement mitupu hata 2000 bure kabisa , mbolea unaweza watembelea wale wafugaji wa kuku , unapata kwa bei nafuu debe za kutosha.