Mboga za makaburini

Mboga za makaburini

Pia mboga nyingine, zinapigwa dawa Leo.... kesho jion zinapekwa sokoni...hii ni athari kwa afya, inashauriwa baada ya kupiga dawa walau ukae siku 7plus... mfanyabiashara hana muda huo, yeye anataka pesa
 
Pia mboga nyingine, zinapigwa dawa Leo.... kesho jion zinapekwa sokoni...hii ni athari kwa afya, inashauriwa baada ya kupiga dawa walau ukae siku 7plus... mfanyabiashara hana muda huo, yeye anataka pesa
Noma Sana yani Kila sehemu huponi
 
Mungu atusaidie! Tunakula vingi tusivyovijua.
Kwa muda wote huo uliokula hizo mboga na hujapata madhara shukuru tu!
Hata hivyo sina hakika kama mboga za majani zina mizizi mirefu kufikia urefu wa makaburi ambapo maiti zimezikwa.
Kuwa na Amani.
 
nimesikia kuna wadau wanaivishia ndiz kweny jeneza na ninaila fresh maana ukichunguza alacho kuku hautamla
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom