Mboga za makaburini

Mboga za makaburini

Mmea unafyonza nutrients, haufyonzi kitu kingine, ni fikra zenu tuu.
Kuleni mboga acheni uchunguzi.
Mkuu Chivundu, hiyo sayansi yako imefeli! Mboga za majani kama matembele zina tabia inayojulikana kisayansi kama hyperaccumulation yaani zinafyonza metali nzito (heavy metals) na kemikali zote za udongoni kirahisi sana, sio nutrients pekee.

Kama unataka kula kemikali za mochwari (formalin) na mabaki ya rangi za majeneza kwa kigezo cha uchunguzi wewe kula tu
 
Mkuu Chivundu, hiyo sayansi yako imefeli! Mboga za majani kama matembele zina tabia inayojulikana kisayansi kama hyperaccumulation yaani zinafyonza metali nzito (heavy metals) na kemikali zote za udongoni kirahisi sana, sio nutrients pekee.

Kama unataka kula kemikali za mochwari (formalin) na mabaki ya rangi za majeneza kwa kigezo cha uchunguzi wewe kula tu

Sasa binadamu ameoza, samadi ya binadamu ikioza ina kemikali gani? 😊
 
Duhh mbona kibarua! Nianze kufocus tena na kilimo mara hii tušŸ¤”
Hizi ni njia za kurahisha maisha tu , usipolima bustani kila kitu utakinunua kwa pesa kama hauna bustani ndogo , ebu fikiria nachuma mboga kwangu ila wewe unatoa 500 kununua fungu la mboga šŸ¤” , hiyo mia tano ya mboga mimi naitupia kwenye kibubu
 
Mkuu Chivundu, hiyo sayansi yako imefeli! Mboga za majani kama matembele zina tabia inayojulikana kisayansi kama hyperaccumulation yaani zinafyonza metali nzito (heavy metals) na kemikali zote za udongoni kirahisi sana, sio nutrients pekee.

Kama unataka kula kemikali za mochwari (formalin) na mabaki ya rangi za majeneza kwa kigezo cha uchunguzi wewe kula tu
Dahh halafu tukiwa wajawazito tunashauriwa kula sana matembele tuongeze damušŸ™
 
Hizi ni njia za kurahisha maisha tu , usipolima bustani kila kitu utakinunua kwa pesa kama hauna bustani ndogo , ebu fikiria nachuma mboga kwangu ila wewe unatoa 500 kununua fungu la mboga šŸ¤” , hiyo mia tano ya mboga mimi naitupia kwenye kibubu
Itapata kutu!

Sawa utanitumia link nianze kilimo cha mbogamboga!
 
Duhh mbona kibarua! Nianze kufocus tena na kilimo mara hii tušŸ¤”
Nilipewa mbegu za mboga ya majani na babu fulani nikapnda kwangu kwenye fence ,sasa kila zinavyokuwa naona kabisa hii ni bangi ,nikamfuata mzee kumuuliza hizi mboga ulinipa ni mboga gani akasema ni SUNGWI mh .

Nikajipa muda walau ziongezeke ,juma lililopiita naziangalia ni bangi kabisa ikabidi nichume kidogo nianike nione je zitakuwa kama bangi kavu .?

Jana rasmi nimehitimisha ni bangi kweli baada ya kujaribu kuwasha moto hivyo niseme kuwa kilimo ni kigumu sana nyumbani bora kununua tu maana unaweza kulima nyumbani na ukajikuta umeingia mgogoro na serikali bila kujua .

Nb:siuzi na wala asinifuate yeyote sababu mimi nina uchunguzi naufanya hivyo hata serikali isije najaribu kutaka kuona kweli nitakuwa kichaa au hapana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom